Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Wana jf kwa yaliotokea huko italia yamenisisimua na kuona kweli kumbe kuna njia nyingi za kufikisha ujumbe kwa viongozi wetu,..sidhani vichaa wetu wako bright kama wa italia kuweza kulenga kama walivyomfanyia waziri mkuu wa italia,...ilikuwa ni huzuni alipokutwa ni kichaa amempiga na baya zaidi jana kichaa huyo akaomba msamaha,....
Nadhani waitalia wamemchoka yule bwana na vihoja vyake ,...sasa basi turudi kwa upande wa tanzania nadhani tunapoendelea kuna umuhimu wa kuwatwisha jukumu zito hawa ma bwana kila mikutamo ya viongozi tunaaoona wanacheza na maisha yetu kuanzia rais ,waziri mkuu ,hakuna haja ya kusubiri uchaguzi wajue tubavyoumia,...labda angalizo tu kwa mara ya kwanza waaelekezwe kuwarushia pembeeni kidogo ya mashikio yao hata wakikwepa watajua tumeanza wasipobadilika basi watu hao wanafaa kufikishiwa ujube puani mwao na kwenye meno yao ,......
Tunaomba bi sophia ulifanyie kazi hili jambo
Nadhani waitalia wamemchoka yule bwana na vihoja vyake ,...sasa basi turudi kwa upande wa tanzania nadhani tunapoendelea kuna umuhimu wa kuwatwisha jukumu zito hawa ma bwana kila mikutamo ya viongozi tunaaoona wanacheza na maisha yetu kuanzia rais ,waziri mkuu ,hakuna haja ya kusubiri uchaguzi wajue tubavyoumia,...labda angalizo tu kwa mara ya kwanza waaelekezwe kuwarushia pembeeni kidogo ya mashikio yao hata wakikwepa watajua tumeanza wasipobadilika basi watu hao wanafaa kufikishiwa ujube puani mwao na kwenye meno yao ,......
Tunaomba bi sophia ulifanyie kazi hili jambo