JOHN MADIBA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 251
- 155
DinI na siasa ni kama uji na ugali
Hapa akitokea rafiki yangu Topical na Sweke34 basi thread hii itasomeka CLOSED.
Na akitokea Kiranga (mwanasayansi wa JF) basi thread hii itawakimbiza watu kwa hoja.
Acha niwasubiri.
Mkuu Kigarama,
Unachokisema ni kweli tupu. Lakini mimi najikita zaidi katika kutafuta ufumbuzi. Umeelezea vizuri sana jinsi kuta zilizokwisha bomoka katika jumuiya yetu. Je, tumechelewa sana kwamba nyumba nzima itaporomoka, au kuna hatua tunaweza kuchukua kunusuru hili jengo na kulirudisha katika mwelekeo sahihi?
...Nimeipenda hii. Ni ukweli usiopingika kwamba, kwa nyakati tofauti, viongozi mbali mbali, hasa wa kisiasa, kwa maslahi binafsi au kwa kutekeleza na kuendeleza malengo yao, wamekuwa wakiwagawa Watanzania. Nasikitika kusema kuwa, hii ilianza toka enzi ya Mwalimu JKN. Waingereza wana ka msemo kazuri..."wagawe, uwatawale".Mkuu Kigarama, Unachokisema ni kweli tupu. Lakini mimi najikita zaidi katika kutafuta ufumbuzi. Umeelezea vizuri sana jinsi kuta zilizokwisha bomoka katika jumuiya yetu. Je, tumechelewa sana kwamba nyumba nzima itaporomoka, au kuna hatua tunaweza kuchukua kunusuru hili jengo na kulirudisha katika mwelekeo sahihi?