Lyamungo
Member
- Aug 17, 2011
- 91
- 7
Kumekuwa na tabia ya wanasiasa walioko kwenye nafasi zao kama mawaziri kufanya mabadiliko yasioyokuwa na kichwa wala miguu kwenye tasnia muhimu kama elimu bila kuwashirikisha wadau au kujali madhara yake, mfano wa mabadiliko hayo ni:-
1. Kubadili mihula ya A- Level kama homa za vipindi
2. Kuondoa michezo mashuleni
3. Kufuta masomo ya Kilimo, ufundi, sanaa, biashara
4. Kuunganisha somo la kemia na fizikia
5. Kuondoa hadhi ya mtihani wa kidato cha pili
6. Kupeleka walimu wakasome mwezi mmoja wakafundishe
7. Kubadili mitaala kila mara
8. Kuidhinisha vitabu visokuwa na kiwango vitumike shuleni
n.k
Mshangao wangu ni kuwa wanavyofanya maamuzi ya namna hiyo ambayo hayahitaji sana utafiti wa kina kuyajua yalivyokuwa ya kihuni wadau na wananchi wanakaa kimya kama haliwahusu
Najiuliza
1. Huwa wanatumwa na nani na kwa manufaa ya nani?
2. Wanaoathirika na maamuzi hayo wanafidiwaje?
3.Tutakaa kimya hadi lini?
1. Kubadili mihula ya A- Level kama homa za vipindi
2. Kuondoa michezo mashuleni
3. Kufuta masomo ya Kilimo, ufundi, sanaa, biashara
4. Kuunganisha somo la kemia na fizikia
5. Kuondoa hadhi ya mtihani wa kidato cha pili
6. Kupeleka walimu wakasome mwezi mmoja wakafundishe
7. Kubadili mitaala kila mara
8. Kuidhinisha vitabu visokuwa na kiwango vitumike shuleni
n.k
Mshangao wangu ni kuwa wanavyofanya maamuzi ya namna hiyo ambayo hayahitaji sana utafiti wa kina kuyajua yalivyokuwa ya kihuni wadau na wananchi wanakaa kimya kama haliwahusu
Najiuliza
1. Huwa wanatumwa na nani na kwa manufaa ya nani?
2. Wanaoathirika na maamuzi hayo wanafidiwaje?
3.Tutakaa kimya hadi lini?