Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,744
Jana nimensikia mh Nahodha, waziri wa mambo ya ndani akiongea na waandishi wa habari akiwa pamoja na vyombo vyake vya usalama. Alikuwa akizungumza kupitia kipindi kilichorekodiwa cha Polisi na Jamii kinachorushwa na Channel Ten
Katika mazungumzo yake alizungumzia suala la kuwapa watu matumaini bila ya kuoyesha kuwakera na ndipo alipotumia mfano wa kuwachoma watu/watoto sindano za maji ili waridhike tu kuwa wamepewa tiba. Niliona kama waandishi waliguna katika kipengele hicho.
Tunahitaji kupewa ahadi hewa pamoja na kudanganywa kama watoto kwa kuambiwa kuwa matatizo yetu yatatatuliwa na kumbe anatukubalia tu ili tusimghasi?
Mko tayari kudungwa sindano za maji?
Katika mazungumzo yake alizungumzia suala la kuwapa watu matumaini bila ya kuoyesha kuwakera na ndipo alipotumia mfano wa kuwachoma watu/watoto sindano za maji ili waridhike tu kuwa wamepewa tiba. Niliona kama waandishi waliguna katika kipengele hicho.
Tunahitaji kupewa ahadi hewa pamoja na kudanganywa kama watoto kwa kuambiwa kuwa matatizo yetu yatatatuliwa na kumbe anatukubalia tu ili tusimghasi?
Mko tayari kudungwa sindano za maji?