bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
nyamayao- ila huyo shemeji yako kwa kweli ni kama jamii ya shemeji manyoyaa ah- unyama gani huo hivi hata watu wakisikia alichomfanyia mwenzie si ataonekana kituko?
Kama angekuwa mstaarabu alitakiwa akashtaki kwa wazee kuwa mkewe anacheat na si kumfanyia hayo aliyofanya
very true MJ1....Ndo yale ya kunya anye kuku bata kaharisha
so unfair kwa kweli....wat kind of a punisment is that??ndio inalingana na kosa??
na yeye anachofanya kilichomplelekea kewe kufanya hivo sio kosa?? anastahili adhabu gani mume katili huyo???