Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
- Thread starter
- #21
nyamayao mpenzi unajua kuna kitu kimoja. Mwanaume akishadevelop love kwa mtu mwingine wewe unabakia lidudu kwake, huna thamani tena na hata akiambiwa akuuwe anaweza kwa kuwa unamzibia kufaidi kule anakodhani anafaidi kuliko- so mtu huyu anakuwa amedevelop roho ya kishetani na atakuwa tayari kukufanyia lolote akumalize au akuumize
Chukulia mfano mdogo tu- mmegombana na mr mnaitwa vikaoni, kwa mwanaume ni rahisi kutengeneza uongo (kama mke hana kosa) ili mradi aonekane yeye ni safi kuliko wewe. tuna roho za tofauti mpenzi wangu
So sishangai kwa huyo mwanaume kuwa mnyama yaani lengo lake lilikuwa kumkomoa tu sis wetu.
na kamkomesha ipasavyo, yaani cwez kuielezea hali halic aliyonayo sasa hivi, cwez....