Tunachogombania ni Urithi Wetu! - Ilani ya Maskini

Kwa mtazamo wangu ufisadi ni ubinafsi na kwa kawaida wanadamu wote ni wabinafsi ila viwango vinatofautiana.Ila ukitaka kuona mizizi ya ubinafsi huu(ufisadi) inaanzia katika ngazi ya familia, mfano:

Baba anaona ni bora kuwa anaonekana kwenye starehe (kupata kinywaji) lakini anashindwa kuwatimizia watoto mahitaji muhimu kama ya shule, chakula na kadhalika, sasa kwa wengine watasema huu si ufisadi bali ni kushindwa kuwajibika.Lakini ukiangalia kwa makini ni misingi ile ile ya kutimiza mahitaji yako kwanza kabla ya wengine.Mbunge akichaguliwa, na hasa akapata uwaziri ama cheo chochote kikubwa watu wake wa karibu wanaanza "unajua mzee ni miaka mitano tuu,au pungufu sasa changamka".Kwa mantiki hiyo labda kwanza tujue tunapambana na nani?

Hao tunaowaita mafisadi ni kuwa tuu labda wana nafasi au uwezo wa kifedha lakini kuna mafisadi ambao wanasubiri tuu chance yao ifike waonyesha makucha, na hawa ndio wako mstari wa mbele kutuonyesha kuwa wanakerwa na ufisadi, ila wakipata upenyo ni wabaya zaidi maana wana dhamira ila hawana uwezo wa kutimiza hila zao.

Kwa hiyo ndugu zangu tuanze kujisafisha wenyewe kwanza, kama maneno matakatifu yanavyosema "Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako".
 
Kumbe toka Dr. Slaa azungumze Mwembe Yanga tulikuwa tunamngoja Mengi ndiyo tufanye kweli? Iko kazi!

Amandla.....

Hakika katika vita hii kutakuwepo na kukebehiiana kama mfumo wa vyama vingi ulivyokebehiwa toka ulipoanzishwa 1992. Jukukmu letu kubwa ni kutokata tamaa na kauli ambazo ni wazi zinalenga katika kudhoofisha dhamira zetu za kuleta mabadiliko. Dr. Slaa alikebehiwa na watu tuliowapa dhamana ya kusimamia utawala wa sheria na haki alipoianika "list of shame" ya mafisadi waliokubuhu. Aliitwa mwongo, mroho wa madaraka, mwenye wivu na mwenye lengo la kulitumbukiza katika vurugu na kuvunjika kwa amani. Pamoja na hayo yote moto uliowashwa haukuweza kuzimwa na hizo kauli.

Hivi sasa tunashuhudia makundi mbali mbali yakianza kuunga mkono hizi harakati bila hofu na yafaa wote tuwaunge mkono. Hapo nyuma mfanya biashara gani angeweza kujitokeza wazi wazi kuzungumzia mapungufu ya utawala kama alivyofanya Mengi. Hii yote ni dalili kuwa moto uliowashwa na watu kama Dr. Slaa unazidi kushika kasi na yeyote yule mwenye mapenzi na taifa lake lazima awa makini. Wale ambao wanajaribu kupuuza haya ni kuwa watakuta wanajikaanga kwa mafuta yao na pongezi ziwaendee wazalendo wote wanaoitikia hii mbiu kwa maslahi ya taifa na vizazi vijavyo.

Asante Mwanakijiji kwa juhudi zako na wananchi wote nje na ndani ya JF kwa kuwa tayari kushiriki kadri ya kila moja wetu kwa uwezo wake. Lakini yabidi tuwe waangalifu sana katika hii vita - siri ni kutokata tamaa hata pale tunapokutana na vizingiti vya mafisadi ndani ya dola. Serikali ni sisi tuliiweka madarakani na ni sisi hao hao tuwe tayari kuiweka benchi kwa kushindwa kutulinda kama ilivyoapa. Tumeshuhudia nguvu kubwa za dola zikijitokeza kutetea mafisadi na sasa ni wakati muafaka wa kuwaambia hatukubali suluhu katika hii vita - sababu tunayo, nia tunayo na uwezo tunao.
Utawala bora hauwezekani chini ya CCM​
 
Viongozi wetu wako madarakani kwa sababu yetu. Hawajawekwa na shetani hapo au kuteremshwa na Mungu (usiamini maneno ya maaskofu). Hawa wako madarakani kwa sababu ni sisi tumewachagua, tukarudia kuwachagua na labda tutawachagua tena. Bado hatujaweza kuhusisha kura yetu na uongozi wao.

Hili ni tatizo kubwa ambalo linahitaji utulivu na ushawishi kuwezesha watu kuelewa mchango wao katika kutengeneza uhalisia. Watu wengi, tunasahau kwamba vitu tunavyoviona leo tumeshiriki kuvijenga labda kwa kuwa washiriki wakuu katika ujengaji, ama kwa kuwa watazamaji, ama kutokuwa na taarifa.

Tatizo tulilonalo, tukishajenga ama tukiona kimejengwa wengi watu tunaona kilichojengwa kinanguvu za peke yake na uwezo wa kuwaongoza waliokitengeneza. Walio na maslahi na chombo hicho basi wataonyesha ubabe wa kila namna na kuhakikisha chombo hicho kinanguvu za kujitutumia inapobidi, na kunyima ushiriki wa moja kwa moja hata kwa wale waliokijenga au wanaondelea kukujenga! Tunayaona haya kwenye vyama vya siasa, taasisi za umma hata mashirika ya kijamii.

Mara nyingi, mabadiliko yanakuja kwa wale walio nje kuamua kutaka kuboa hizo kuta na kupata ushiriki juu ya vyombo hivyo. Kura ya Mtanzania, kama iliyopigwa mwaka jana itaendelea kuwa kura iliyopigwa mwaka huu, basi chombo cha enzi kitaendelea kutia nanga. Lakini iwapo, wale walionje wakaamua kuingia katika ulingo basi mabadiliko yanawezekana.

Mapambano haya sio ya kifikra peke yake, yakiwa na lengo ya kuamsha fikira za watu waliomo ulingoni, ni mapambano ya kuamsha fikira ya watu waliopembezoni pia.

Tunatambua kabisa, wasomi wengi tanzania hawapigi kura ukilinganisha na wakulima na watu wa hali ya chini. Hakika ikiwa lengo letu ni kuonyesha ufisadi unavyoathiri maslahi ya wakulima na wafanyakazi na kuwapa mwanga wa kufanya maamuzi yaliyosahihi, basi vivyo hivyo mageuzi yatakuja pale tu wapiga kura wapya wataingia katika duru na kupiga kura.

Tegemeo la mageuzi haya lipo kwa vijana na watu wakati kwani kwa kiasi kikubwa ni muunganiko kati ya serikali na vijiji - wakulima na wafanyakazi.
 
Last edited:
Kitu ambacho mzee ES alikisema vile vile siku nyingi kuwa viongozi wetu ni reflection yetu sisi wenyewe..

Ndio mana nasema swala la tanzania yetu, si swala la kupinga chama A ama B. Ni swala la kuhakiki ni jinsi gani tunapata viongozi ambao nia yao na msimamo wao ni kuona taifa hili linaendelea. Lengo leo sio kuiona tanzania ni ombaomba lakini wanaimani na nguvu kazi ya watu wao na kwamba taratibu na mazingira yakiwekwa vizuri tunaweza kujikwamua.

Ni viongozi ambao hawatatumia tarakimu kudhalirisha taifa hili kwa kutengeneza picha ya umasikini na maradhi ili kupata misaada, bali tarakimu hizo zitakuwa ni kumbukumbu ya majukumu waliyonayombeleni. Viongozi ambao! Wengependa watoto wao warudi nyumbani baada ya masomo kutoka ng'ambo na kushiriki katika ujenzi wa taifa hili. Viongozi ambao wanapokwenda kwenye vikao vya kimataifa wanaongelea maendelea na sio mbomoko wa maendeleo.

Tunahitaji viongozi, watakaopenda nchi hii na kuithamini kama wanavyothamini wenza wao, natumaini kwa mungu kwamba mapenzi ya kweli yapo. Huwezi kusema unaipenda nchi hii kama hujui mapenzi juu ya mtu mwingine, kama huna mapenzi na ulipozawaliwa wala kukulia. Huwezi kuipenda nchi hii hata kidogo. Yule ambaye haoni tatizo la watoto wa mitaani, ubadhirifu, na umasikini wa tanzania yetu leo kamwe hawezi kutuongoza. Huwezi kuwa na mapenzi na nchi hii kama hujali mila na desturi za makabila ya kitanzania. Kwani yule kiongozi ambaye hajui penzi, hawezi kuwa na uchungu wa kulinda ama kutunza!

Wasiwasi wangu mimi, je tunapopiga vita dhidi ya mafisadi na akutaka kuleta mabadiliko, maadili yetu na fikra zetu juu ya viongozi tunawategemea tumezijenga? Katika mapambano haya ni muafaka tusema tunahitaji viongozi gani.

Kwangu mimi, nahitaji viongozi sio walio na uwezo pekee wa kukemea masuala ya ufisadi na maovu ya nchi, ila ni kiongozi mwenye maadili na imani kwamba tanzania sio maskini. Anayeamini kwamba mabadiliko ya watanzania yataletwa na watanzania wenyewe. Mwenye kiburi na ndoto kwamba tanzania inaweza ikabadilika kwa manufai ya wengi!
 
Mwanakijiji,

Mkuu wangu urithi upi tena?...Kushnehi mkuu wangu - tumekwishaaaa!...

Wakati wa Nyerere na Azimio la Arusha tuli share umaskini mkaona shida kubwa sana, mkaamua kutunga Azimio jipya la zanzibar ili tugawane Umaskini ktk sinia la pilau.. Kama ulioone ile sinema ya Darwins, basi bila shaka uliona watoto pale beach Mwanza South wakigombania ubwabwa usiokuwa na nyama za kutosha tena basi baada ya kuvta sana gas (petrol kama kilevi.. Haya ndio maisha yetu babu..ni vigumu sana kuelewa tutaanzia wapi kwani kati yetu sisi wote bado tuna njaa na bahati mbaya umaskini unachangia sana ktk uwezo wetu hata kusimisha mwongozo mzuri wa kimaisha...

Ndio maana tunagombania mabus ya daladala, magari mjini yanapishana bila kujali taa, stop sign wala upande gani ruksa unapita kwa sababu barabara zenyewe mashimo watupu inabidi uendesha upande wowote ule kulingana na hali iliyopo..Mtembea miguu lazima uwe tayari kuvua viatu kuvuka madimbwi ya maji yaliyokaa na mbu kuzaana..Halmashauri za miji hazina miradi isipokuwa ruzuku ya serikali wakati Parking lots, Zima moto na hata bustani nyingine niko owned na watu binafsi au mashirika..

Na labda umesahau lakini mimi bnado kabisa nakumbuka vizuri kwamba vifo vya watu kama Kighoma Malima, Kolimba, Mwaikambo, AC, Sophia Mbatia, Wangwe na nachelea hata kusema hata Nyerere ni watu waliokufa kwa kujitoa mhanga kwa nchi hii lakini kutokana na vifo vyao hatukujifunza kitu..na hii ni sababu kubwa sana inayonifanya mimi nichukue vita yangu hapa JF badala ya kuchukua silaha na kuingia vitani kwani nitajikuta peke yangu na bahati mbaya sina uwezo wa David..
Hawa ndio Wadanganyika mkuu watu - sisi NDIVYO TULIVYO...
 
Mkandara:

Nyie ndio mnaangusha nchi. Mwalimu katika hotuba zake alikuwa asema Msichezee Azimio la Arusha, lina Wenyewe. Aliamini vijana waliopitia TANU Yusi Ligi na Chipukizi watakuwa tayari kulilinda.

Leo mko wapi :confused:. Mmebakia kuwa desktop activists tu. That's a shame.
 
Ukweli ni kuwa there is failure every where. Vyama vya siasa is now vichaka vya kujifichia watu wachafu na waovu. We need patriotism today, hali ni mbaya mno na hivyo ndivyo ilivyo.

Ni kweli kuwa viongozi wetu ni reflection ya mahali jamii au nchi inakoelekea. Sasa hivi inawezekana tunaelekeza vidole kwa fulani na fulani. Lakini the core of the problem ni mfumo tulioujenga. Mfumo ambao ukweli matokeo yake ni failure everywhere. Mfumo ambao hauwezi kutoa chochote cha maana zaidi ya stink za corruption everywhere.

Mfumo umekufa wapi? Failure imeanzia wapi? Kwenye mifumo ya patronage ambayo ililelewa na chama tuwale. Where is the reigning principles. Ni value ipi ambayo unaweza ukasema we stand for as a nation.

The holly grail siku hizi ni personal enrichment. Personal inrichment we are told is what is moving our nation today. Kwa nini? Watu wanadai hakuna retirement protection. Watu wanaoretire wanaishia kaburini few days after retirement. Kwa hiyo dawa ni kuiba when you can. kwa sababu no security.

Dawa ni kubaka .... when you can. Dawa ni kuzini when you can... na kuendelea. Lakini kukosa kwa retirement is also part of our failure!! Tumejenga ngome za majambazi katika retirement funds and we cannot fix it. Sheria tunazotunga nyingi zinatungwa na mikono isiyoonekana ya watu wanaotaka kuzitumia hizo funds wanavyotaka kama vile ni za kwao.

Kodi hazikusanywi na sheria za kutokusanya kodi tunatunga sisi. You see stink everywhere and in everything ..... right from the President to Mfagia ofisi. Je tuna mtindio wa ubongo kama taifa??? Labda!!
 
Tukumbuke kuwa piranha ni hatari kuliko papa. Angalau papa anakubakiza mifupa! Tumekuwa nzige katika nchi yetu, bila haya tunakula na kuharibu hata kile ambacho tulipaswa kuwaachia watakaotufuata!

Amandla.........!

Mkuu this is very deep.

Your average fisadi anacheza deal either la EPA, BOT au Rada na kuibuka na mabilioni. Wakati wa mchakato wa uchaguzi, anaweza kutumia karibu nusu ya bulungutu kuhonga makada wa chama chake ili ateuliwe kugombea na wapiga kura jimboni kwake ili achaguliwe. Hii inafanyika karibu majimbo yote nchini. Sasa katika hali kama hii vizazi vijavyo watarithi nini?

Hawa watuhumiwa wa ufisadi wakirudi majimboni kwako nani atawagusa? Nani bado anaamini ni watu wachache tu ndo wanaiharibu hii nchi?
 
I'll argue that jinsi wanavyochaguliwa ndivyo wanavyoongoza. Ndiyo maana niliyaita haya mapambano ya fikra kwa sababu kabla ya kubadilisha kura ni lazima tubadilishe fikra kwanza. Na katika hili tunajitahidi pole pole sana.

Mkuu, hapa umenena. Mambo yote yako hapa na kazi ianzie hapa. Tukifanikiwa hapa, mengine yote yatajiseti yenyewe.
 
Wanatunyonya kwenye madini, wanatunyonya kwenye fedha, wanatunyonya kwenye elimu na wanatunyonya bila huruma. Ili kuhakikisha hatusikii maumivu ya mirija yao wanatupiga ganzi ya misaada ya kigeni. Bila misaada ya kigeni tungesikia maumivu ya unyonyaji wao. Hili wanalijua.

Mkuu, I like this.


Mimi nasema hapana! Ninasema inatosha. Tutawarithisha watoto wetu taifa tulitakalo, taifa lenye nafasi sawa kwa wote na lenye kutawala kwa misingi ya sheria (siyo maneno ya sheria). Tutawarithisha watoto wetu taifa ambalo ndani yake hakuna bwana na mtwana; taifa ambalo Mtanzania mmoja hamnyonyi mwingine kwa sababu tu ya umaskini wake!

Mkuu, uhuru na haki kwa wote mbele ya sheria is possible. Hayo maneno mengine ya watu wote kuwa sawa ni wishful thinking. Hakuna sehemu yoyote duniani ambapo watu wote wako sawa. Nyerere tried this and failed. Hata darasani kuna vipanga na vilaza. Hatuwezi wote tukawa wanasiasa au wafanyabiashara maarufu. Lazima wengine wawe executive directors na wengine wawe housegirls.


Nadhani cha muhimu kabisa kuwarithisha watoto wetu ni maarifa. Kama vizazi vijavyo vitarithi maarifa ya kutosha, wataweza kuongeza thamani ya rasilimali walizonazo na kujinufaisha nazo bila kukwaruzana. Hata wakikuta hakuna rasilimali, wataweza kukopa na kuzinunua kwingine, waziongeze thamani na kuziuza kwa faida.

Lakini bila kuwarithisha maarifa, hata tuwaache na rasilimali za thamani gani, hazitawasaidia chochote. Watakuja wajanja, watawahonga viongozi wao makombo na kuondoka na rasilimali zote huku wakiwaacha wakitoana macho na kulumbana.

Juu ya yote, tuwarithishe maarifa. Knowledge is everything.
 
Kuna watu ambao wanatishiwa na urithi huu; endapo watoto watapata urithi wao wa haki na wakagawana utajiri wa wazazi wao, na wenyewe wanawaeza kujijengea maisha na hawatapiga hodi tena kwa wageni kuomba misaada au kujipanga mstari kusubiri handout. Kwa kadiri ya kwamba kundi hili la watu wachache linashikilia urithi wetu ndivyo hivyo hivyo kundi kubwa la wananchi litaendelea kubakia katika huruma ya watawalao.
 
Zakumi,
Mkandara:

Nyie ndio mnaangusha nchi. Mwalimu katika hotuba zake alikuwa asema Msichezee Azimio la Arusha, lina Wenyewe. Aliamini vijana waliopitia TANU Yusi Ligi na Chipukizi watakuwa tayari kulilinda.

Leo mko wapi :confused:. Mmebakia kuwa desktop activists tu. That's a shame.

Mkuu wangu, unajua fika Siasa siziwezi kwa sababu wakati wa Nyerere na Azimio la Arusha umepita.. Ni maazimio pamya sasa hivi yanayohusu zaidi Uchumi kujenga Jamii (Ujamaa) na sio Ujamaa kujenga Uchumi..

Mimi nazungumza na reality mkuu wangu natazama wakati na nafasi zake..maswala ya kusukumiwa dini usiaomini hayana nafasi akilini mwangu zaidi ya ku support wale wenye nia nzuri..Siasa na akili na kmitungo siiwezi kabisa hivyo utaniona sana ktk maelezo ya kipi kifanyike Kichumi kwani Uchumi hauwezi kubadilishwa na mtu mmoja au kundi la watu bali ni nguvu za pamoja ambazo zitawahitajio Watanzania wote..

Siwezi kumwondoa Rostam, Lowassa wala Kikwete madarakani kwani imani yangu ni zaidi ya kugombea Uongozi bali Uhuru wa taifa hili. Na hakuna dawa zaidi ya kuwakomboa Watanzania kifikra kwanza..Hapo ndipo niliposimama kwa sasa kama Nyerere alivyotoka Uingereza kazi yake ya kwanza ilikuwa sio kugombea Uongozi bali kuwavuta wananchi wafahamu mabaya ya Mkoloni na sio kugombea kiti cha Urais...

The fact is uchaguzi wa kwanza wa CCM, Nyerere alishindwa kwa kura na AbdulWahid, lakini kutokana na nafasi ya ushindi kwa TAA wakati ule Nyerere alionekana kuuzika kirahisi zaidi, hivyo AbdulWahid alimwachia Mwalimu kushukua Uongozi.. Ni moyo kama huu unanisukuma mimi kuamini kwamba wapo watu wazuri zaidi na wanauzika zaidi yangu hivyo madai yangu yataendelea kuwa hapa JF...Na nashukuru Mungu kuna yangu mengi sana toka humu janvini yamekuwa yakifanyiwa kazi.. believe it not lakini JK kisha fanya mengi sana ambayo tume/nime-changia ktk jukwaa hili...

Tatizo kubwa ka uchumi wetu ni UFISADI, na nimekuwa nikisema toka mwaka 2007 baada ya kurudi toka Bongo lakin imeshindikana kwa sababu JK mwenyewe yumo ktk baadhi ya madhambi yaliyokwisha fanyika..

Tumetaka wahujumu wa fedha za EPA na Madini kote huko aliingizwa mjini na kina RA na Lowassa sasa kujitoa hawezi na kuachia ngazi hawezi pia kwa sababu hakuna mtu anayetaka kushika kijiti chake kumalizia mbio za relay hii...
 
Nawaomba wana JF wote someni hii habari hapa chini muhimu sana

ILANI YA MASKINI
Someone Else's Treasure - Tanzania



set044.jpg
Tanzania is blessed with an abundance of mineral resources. In gold alone, Tanzania is estimated to be sitting on top of a US$39 billion treasure. When you factor in the large quantities of diamonds, copper, silver, gem stones, and other minerals – not to mention its wildlife, agricultural, and human resources – Tanzania should be a very wealthy country.
While Tanzania has developed into the third biggest gold producer in Africa, the country remains one of the poorest in the world. With a life expectancy of 51 years, 89.9% of the population lives on less than $2 a day. Leading some critics to argue that not only are Tanzanians not benefiting from its abundance of mineral resources, but that the multinational mining industry has contributed to impoverishing the rural poor.
The following accounts of mass displacements, violent confrontations, lost livelihoods, exploited workers, and contaminated ecosystems raise serious questions about the mining industry in Tanzania and internationally. The focus here is on communities surrounding the Bulyanhulu and North Mara Gold Mines, both owned by the world's largest gold mining company Barrick Gold, and the Geita Gold Mine, owned by the third largest gold company, AngloGold Ashanti.
Canada, home to about sixty percent of the world's mining corporations, leads the way in the global mining industry. But some critics have labeled the mining industry as Canada's number one contribution to global injustice. As the industry continues to shape the world we all live in, it is the hardships endured by the men, women, and children like these that make our way of life possible.
set045.jpg
Sheila is one of 258 men, women, and children, from Mtakuja village who were displaced in late July 2007 to make way for an expansion of the Geita Gold Mine.
"We were invaded by administration police officers in the middle of the night, who shoved us out of our houses. We were not given even a chance to take our belongings," laments Abdallah Abedi, a former village executive officer, "we were moved here like people in a war-torn country, and now we are all tucked into a small place like prisoners who have committed the worst of crimes."
One week after this photo was taken the villagers were informed by the local government that they would be evicted all over again from their current campsite. No provisions have been made for them, however, and they have nowhere to go.
acl_4433.jpg
During the day most of the adults in the camp for the internally displaced people in Geita are away looking for work. Mwajuma stays behind to take care of some of the children. All 258 of the villagers were dumped in a one-room abandoned building in the middle of the night one year ago. The Christian Council of Tanzania and Norwegian Church Aid heard about their situation and have provided the group with the tents they now call home.
In an interview with the Norwegian Church Aid, Faida Gerald says, "we have lost a lot of things including our sense of belonging, clothes and other household materials. What hurts most is that they buried even already harvested crops, which we would have sold to get some income to buy food and take care of our children."
Their sense of loss is intensified by their feelings of betrayal by their own democratically elected government, as Faida contemplates; "I wonder what they have given to the government to subject us to all this."
set050.jpg
Rukindo lives in the IDP camp in Geita along with the other 258 Mtakuja villagers who were displaced to make way for the Geita Gold Mine. This picture was taken shortly after a court hearing in Dar es Salaam in their case against the company. Rukindo and three others had travelled 1300km to make their case.
But they were never even given the chance to have an audience with the judge as the case was thrown out of the court after a suspicious meeting behind closed doors between their attorney, the judge, and the team of lawyers representing the company. In the unlikely event that they can afford to continue with the case, they will have to start all over again.
Almost immediately after receiving this bad news, they received even worse news as a letter arrived from the local government of Geita informing them that the inhabitants of the camp were about to be evicted from the area they had been occupying for the past year.
Once again, the displaced have to start all over again and try to rebuild what little semblance of normalcy they had attained in the past year.
acl_4485a.jpg
The government's Prevention of Corruption Bureau is investigating a corruption scandal involving the compensation for some 900 people who were displaced to make way for AngloGold Ashanti's Geita Gold Mine in Geita.
Mustafa is one of the complainants; here he is showing documents that state that he was promised over 60million shillings (55,000CAD) in compensation which he has never received.
AngloGold admits that 875 people have not received the compensation promised to them, but they claim to have given government officials the money needed to make the payments in 1999 and blame these officials "in their lust for money" for the disappearance of the funds.
set051.jpg
Fabil used to work at Barrick's Bulyanhulu Gold mine until 26 October 2007, when Barrick fired 1,374 of its workers en mass. Official accounts, as reported by Reuters, stated that the workers were fired for going on an illegal strike. But according to Fabil and George Mandia, the then Chairman of the workers Union at the Bulyanhulu mine, they were not on strike when they were fired.
They claim that there had been ongoing negotiations between management and the union for several months as the workers were concerned about the unfair treatment of sick and injured workers, racial discrimination between Tanzanian and expatriate workers, and unrealistic production and safety targets, among other things. On the 25th of October, the day before being fired, they argue that they had all worked their regular shifts; they did not walk off the job in protest as Barrick reported. After the regular work hours, with the permission of the management, the union had organized a meeting inside the mine site for the workers to discuss these ongoing negotiations. The meeting was disrupted when 68 armed riot police officers moved in causing a panic among the fleeing workers.
"There is no humanity in the way they have treated us!" Fabil insists, "they make us promises while we are of use to them. But then, if we become sick, or old, or start to complain about our rights, then they just spit us out like a chewing gum that has lost its flavour."
set053.jpg
Alex with his wife Christine and their son Spencer. Working in the mine twelve hours a day, seven days a week, for ten weeks before getting a one week break – for 1,926 shillings (1.75CAD) an hour – took a severe toll on Alex's body. Alex had been receiving medical treatment for several months for his ailments; he was lying in his hospital bed, unaware of what was happening back at the mine, when he received his termination letter.
According to a letter from his doctor at the Bulyanhulu Medical Centre, Alex was suffering from "painful defecation, lower abdominal pain, passing blood stained stools, [and] mass protrusion per-rectum". His treatment was never completed and he continues to suffer from many physical problems. He is unable to work; he barely even has the strength to carry his son Spencer.
The family has been surviving on the money Alex had saved up while working at the mine. But these savings will not last much longer and they do not yet know what they will do when it does run out.
set055.jpg
Deus had worked in the Bulyanhulu mine as a supervisor for five years when he was in an accident in 2006 where a big rock fell on him. His coworkers pulled him away in time to save his life before more rocks came falling down. Barrick's Bulyanhulu Gold Mine boasts "one of the most up-to-date and well-equipped and staffed medical clinics in Tanzania … being operated not only for the benefit of employees and their families, but also to provide assistance to the immediately surrounding communities."
Despite these declarations, Deus had to be flown to Dar es Salaam waiting for a total of 18 hours before receiving any treatment. His arm eventually had to be amputated, but he vividly remembers the doctor telling him that if he had received treatment earlier it would have been a very simple procedure to save his arm which any trained doctor would have been able to perform.
For a career-ending injury, Barrick eventually agreed to give him 10million shillings (9,000CAD) in compensation, far less than the 600million shillings (550,000CAD) Deus had estimated he should receive based on international standards. Barrick made several promises to him, including that he would get a plastic prosthetic arm which they flew him to South Africa for. But when he tried on the arm he found that it was only 3% functional and that they wanted to charge him 16million shillings (15,000CAD), which he could not afford.
set059.jpg
The Mwita family lives in Nyamongo next to Barrick's North Mara gold mine. The waste rock on the edge of the mining pit can be seen just behind their huts here.
Ongoing violent conflict between the mine and local communities have created a climate of fear for those who live nearby. Since the mine opened in 2002, the Mwita family say that they live in a state of constant anxiety because they have been repeatedly harassed and intimidated by the mine's private security forces and by government police. There have been several deadly confrontations in the area and every time there are problems at the mine, the Mwita family say their compound is the first place the police come looking. During police operations the family scatters in fear to hide in the bush, "like fugitives," for weeks at a time waiting for the situation to calm down.
"We had never experienced poverty before the mine came here." They used to farm and raise livestock, "but now there are no pastures because the mine has almost taken the whole land … we have no sources of income and we are living only through God's wishes." They say they would like to be relocated, but the application process has been complicated, and they feel the amount of compensation they have been offered is "candy."
set062.jpg
This is a water hole in Nyamongo that was built by Barrick Gold near their North Mara Gold mine on behalf of the local communities (the endge of the mine pit can be seen in the top left corner). But the water appears milky and dirty and the plants around the water hole are dying, but this is the only water source available to the community.
The mine's General Manager, Kevin Moxham, has argued that the ongoing violent conflicts with locals is to blame; "we spend a lot of time and resources to deal with crime incidents instead of funding development projects. This also reduces the cake that could have gone into improving the livelihood of the North Mara community, Tarime district and Mara region in general."
set063.jpg
Mabibhi Mutaguna is a resident of Nyakabale, a small farming community of about 2,000 people living near the Geita Gold mine. He suffers from severe skin problems which first started appearing about three years ago.
Mabibhi is 75 years old and has lived a full life so he says that it does not matter what happens to him – what he is really worried about is the future of his grandchildren.
set064.jpg
Residents of Nyakabale have compiled a list of 36 deaths since the mine began operations in 2000 which they link to the chemicals from the mine. "The first unusual deaths," according to resident Stefano Lufungulo, "occurred shortly after the Geita mine began operating … a family of four died after eating a dying rabbit they had caught near the tailings dam. Since then, a number of women have had miscarriages."
set066.jpg
Research compiled by Manfred Bitala in his masters dissertation, which has been approved by the University of Dar es Salaam, has concluded that "Nyakabale Village and the immediate environment are severely polluted by heavy metals from gold mining activities of Geita Gold Mines" posing high risks to "human health, livestock and other terrestrial and aquatic life and potentially to Lake Victoria Basin at large."
Bitala calculates that the heavy metals concentration in the soil in Nyakabale is up to 6,000 times above acceptable levels set by the World Health Organization (WHO) and the Food and Agriculture Organization (FAO). Similarly the concentration in plants is 9,000 times above the acceptable level.
set068.jpg
Mabibhi's granddaughter drinking the water which residents believe has been contaminated. residents report that the water now tastes bitter and smells foul AngloGold claims that they carry out "regular monitoring around the village" and their results do not coincide with the conclusions of Bitala's study. They point out that any problems may in fact be stemming from the old mine in the same location operated by Germany in colonial times.
Human rights lawyer Tundu Lissu argues that "the description of the deaths and other health problems reported by the villagers of Nyakabale are consistent with the symptoms associated with cyanide poisoning."
set070.jpg
The home of the Luhanga family in Kahama. The Luhanga's were among the thousands of families who had been forcefully evicted in August 1996 to make way for Sutton Resources' Bulyanhulu Gold Mine, which was bought three years later by Barrick Gold.
According to Barrick's own report, Social Development Plan for the Bulyanhulu Gold Mine, there were anywhere between 30,000 and 400,000 people living in the area before the evictions. The company claims that the people living there were nomadic illegal trespassers. But the communities argue that some of the villages in the area had existed long before colonial days.
set071.jpg
Deogratios is the traditional witchdoctor, or medicine man, of the community. He was among the thousands of people who were evicted to make way for Barrick's Bulynhulu gold mine. He remembers being forced from their home by heavily armed paramilitary forces only one day after the Minister of Minerals and Energy had issued an order giving the Bulyanhulu residents one month to vacate the area.
Deogratios and his family had nowhere to go so for two months after being forced from their home they were living in the bush. During this time his wife became ill. But with their home destroyed, and without access to his medicines, the healer could do nothing as he sat and watched his wife die.

set072a.jpg

Twelve years later, allegations continue that during the evictions in August 1996 fifty-two artisanal miners were buried alive in their pits by company bulldozers. The issue has developed into a bitter international dispute involving local communities, NGOs, and the governments of Tanzania, Canada, and the World Bank.
The company denies these allegations and maintains that "the way people left this site was in a peaceful, systematic fashion", reports in the Tanzanian press at the time reported mass confusion, looting, robbery and bloodshed as people fled from police in riot gear. Numerous witnesses have testified in sworn statements that people were being beaten up by the police and were ignored when they told officers that there were still people inside some of the mineshafts as the bulldozers were filling in the pits.
The legality of the companies' claim to the site has also been disputed. While on the one hand Barrick claims that the people there were illegal trespassers, they acknowledge in project documents that during a visit to the site by then President Ali Hassan Mwinyi in February 1993, "artisanal miners requested the right to resume artisanal mining in Bulyanhulu, which permission was granted by the President."
According to the Lawyers Environmental Action Team (LEAT), the company had taken possession over the Bulyanhulu area in 1996 even though "the license issued to it was over a completely different area in a completely different district in a completely different region!"
set073a.jpg


In response to the companies' and the government's denials Melania, a Kahama resident, has been collecting these photos of people who claim to have witnessed the killings or lost loved ones during the evictions. "…This one was there when it happened … this one lost her son … this one went back afterwards to try and dig out his friends … this one lost her home and her grandchildren …"
A number of organizations have been calling for an independent inquiry to resolve the contraversial issue including Amnesty International, the Council of Canadians, Mining Watch Canada, the New Democratic Party, Friends of the Earth, and Rights and Democracy. But when an international NGO fact-finding mission attempted to visit Bulyanhulu to investigate the allegations they were barred from entering the area by an armed roadblock, they reported that they were intimidated by the police and were given the impression that they were "under surveillance and could possibly be apprehended."
set074.jpg
Melania's two eldest sons, Jonathan and Ernest were among the fifty-two miners who were allegedly buried alive during the evictions. The family owned the pit that they were working in at the time, so Melania lost her livelihood as well as her two children in August 1996.
In a recent report published by religious groups in Tanzania it estimated that "that the concentration of gold mining in the hands of large multinational companies at the expense of small-scale artisan miners has put 400,000 people out of work."
Adding to her already considerable loss, police have since taken away all Melania's photos of Jonathan and Ernest. The photos she holds up here are of her youngest son Mushobozi.
set075.jpg
Barrick argues that "the Bulyanhulu project is a model of how the private sector can do its part to contribute positively to the fabric of Tanzania." But Gudila, another Kahama resident who lost her son Joseph during the evictions, argues that despite the company's many promises their presence has brought nothing but misery to those living nearby. "We have nothing, just look around at this place, and see what we have to put up with."
One of the more recent and appalling incidents involves a court case where three of Barrick's employees – Annicet Edward Ndege, Job Murama, and Shija Madata – are currently on trial accused of masterminding the rape of an eleven year old schoolgirl by one of the company's German Sheppard guard dogs. The accused, as described in local newspaper The Citizen, are said to have picked up the girl where she was selling bread and took her to the Nyanzaga Mineral Exploration Centre on March 21, 2008, where they "undressed and forced her to be defiled by a dog for about one hour".
set077.jpg
Buchard, resident of Kahama:
"I want you to tell people in Canada:
We know Canada;
We know the history of Canada;
We know the Canadian people are good people;
We know they believe in human rights.
But what this Canadian company is doing here is just terrible. Before, we were happy. We lived normal lives by Tanzanian standards. But now people here are really suffering. It is very difficult to make a living and feed our children here. A lot of us have lost our homes, loved ones, and livelihoods without receiving any compensation. There should have been an independent investigation into the killings a long time ago. But at this point, all we want is for the company to just sit down at the table with us so we can discuss where we can go from here. But they never listen to us, and they are lying to people in Canada.".....
 
Mkandara,

Umefanya makosa sana hii kuileta hapa. Inabidi uianzishie thread yake nyingine. Kweli hii ni habari muhimu sana kila Mtanzania aione.
 
Zakumi,

Mkuu wangu, unajua fika Siasa siziwezi kwa sababu wakati wa Nyerere na Azimio la Arusha umepita.. Ni maazimio pamya sasa hivi yanayohusu zaidi Uchumi kujenga Jamii (Ujamaa) na sio Ujamaa kujenga Uchumi..

Mimi nazungumza na reality mkuu wangu natazama wakati na nafasi zake..maswala ya kusukumiwa dini usiaomini hayana nafasi akilini mwangu zaidi ya ku support wale wenye nia nzuri..Siasa na akili na kmitungo siiwezi kabisa hivyo utaniona sana ktk maelezo ya kipi kifanyike Kichumi kwani Uchumi hauwezi kubadilishwa na mtu mmoja au kundi la watu bali ni nguvu za pamoja ambazo zitawahitajio Watanzania wote..

Siwezi kumwondoa Rostam, Lowassa wala Kikwete madarakani kwani imani yangu ni zaidi ya kugombea Uongozi bali Uhuru wa taifa hili. Na hakuna dawa zaidi ya kuwakomboa Watanzania kifikra kwanza..Hapo ndipo niliposimama kwa sasa kama Nyerere alivyotoka Uingereza kazi yake ya kwanza ilikuwa sio kugombea Uongozi bali kuwavuta wananchi wafahamu mabaya ya Mkoloni na sio kugombea kiti cha Urais...

The fact is uchaguzi wa kwanza wa CCM, Nyerere alishindwa kwa kura na AbdulWahid, lakini kutokana na nafasi ya ushindi kwa TAA wakati ule Nyerere alionekana kuuzika kirahisi zaidi, hivyo AbdulWahid alimwachia Mwalimu kushukua Uongozi.. Ni moyo kama huu unanisukuma mimi kuamini kwamba wapo watu wazuri zaidi na wanauzika zaidi yangu hivyo madai yangu yataendelea kuwa hapa JF...Na nashukuru Mungu kuna yangu mengi sana toka humu janvini yamekuwa yakifanyiwa kazi.. believe it not lakini JK kisha fanya mengi sana ambayo tume/nime-changia ktk jukwaa hili...

Tatizo kubwa ka uchumi wetu ni UFISADI, na nimekuwa nikisema toka mwaka 2007 baada ya kurudi toka Bongo lakin imeshindikana kwa sababu JK mwenyewe yumo ktk baadhi ya madhambi yaliyokwisha fanyika..

Tumetaka wahujumu wa fedha za EPA na Madini kote huko aliingizwa mjini na kina RA na Lowassa sasa kujitoa hawezi na kuachia ngazi hawezi pia kwa sababu hakuna mtu anayetaka kushika kijiti chake kumalizia mbio za relay hii...
Mkandara:

Kuna kipindi nilikuwa mpinzani mkubwa wa kuchagua mtu mwingine kutoka CCM bila kubadili system ya utawala na kodi.

Lakini kutokana na uchumi uliokuwa unakuwa kutokana na kupiga mnada assett za nchi sikupata wasikilizaji. Na watu wakawa wanatafuta ni nani ndani ya CCM amrithi Mkapa na kuendeleza mafanikio yake.

Mpaka leo sijabadilika. Kiini chetu ni mfumo mbaya wa utawala ambao unasababishwa na katiba.
 
IMG_3033.JPG
IMG_2994.JPG
IMG_2969.JPG
Zito.JPG
IMG_2941.JPG
IMG_2784.JPG
IMG_2790.JPG
IMG_2779.JPG
IMG_2776.JPG
IMG_2761.JPG


MWENYEKITI wa kamati ya bunge hesabu za mashirika ya umma (POAC) Zitto Kabwe kuona wawekezaji wa miradi hiyo wakifanya kazi kwa kasi ndogo na kuonya suala la Dowans halitegemewi lisitegemewe tena.. (chadema) ameonya vikali kuwa kamati yake haitakata

Kabwe ametoa onyo hilo wilayani Ludewa wakati wa kikao cha pamoja kati ya wawekezaji wa kampuni ya NDC na kamati hiyo ya bunge yenye wajumbe 16 ikiongozwa na mwenyekiti Kabwe na makamu wake mbunge wa jimbo hilo la Ludewa Deo Filikunjombe (CCM).

Alisema kuwa lengo la wabunge kuwachagua kuongoza kamati hiyo ni kutaka kuona kuwa kasoro mbali mbali za wawekezji katika kuendesha miradi hiyo zinafanyika kwa wakati badala ya kuendelea kuona utekelezaji wake ukienda kwa kusua q`q sau huku Taifa likiwa katika adha kubwa ya umeme.

"Napenda kipindi chetu cha miaka miwili na nusu cha kuongoza kamati hii kinapo malizika lazima suala hili la uchimbaji wa madini huku wilaya ya Ludewa liwe limeaza ….hatupendi kuona suala hili likikwama …..kweli lazima tumalize kwa mafanikio ….sio mradi umeanza kuzungumzwa kwa zaidi ya miaka 10 sasa bila kutekelezwa"

Aidha aliswema kuwa kukamilika kwa miradi hiyo kutalisasidia taifa kuondokana na adha yha mgao wa umeme nchini kwa kuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 1000 za umeme.

Hata hivyo alisema toka kupatikana kwa uhuru wa nchini imekuwa na uwezo wa kuzalisjha megaati za umeme 1034 huku mahitaji ya matumizi ya umeme yakiongezeka kila siku kwa kuwa na viwanda na watumiaji wa kawaida.

"Tukiangalia hasadi za Bunge kila imekuwa ikizungumzwa miradi ya umeme ya Linganga nas mchuchuma lkakini kumekiuwa hakuna utekelezaji sasa tunahitaji kuona kazi kuliko maneno zaidi" alisema Zitto.

Alisema katika maswala ya uwajibikaji kamati yake hatakuwa na upendeleo katika ufanyikazi kati ya NDC na Tanesco katika kuhakikisha wanafanyakazi kwa maslahi ya Taifa.

Awali itoa maelezo kwa wajumbe wa kamati hiyo Mkrugenzi Mtendaji wa NDC Gedion Nasari, alisema utafiti ulio9fanywa kuanzia mwaka 2008 unaonyesjha makaa yam awe zaidi ya tani milioni 250 zilizohakikiwa na kutegemea kuzalisha umeme kwa kutumia makaa yam awe.

"Ukiondoa Mradi wa Mchuchuma na Ngaka tunategemea kujenga mitambo ya kuzalisha umeme maeneo ya Kyela karibu na bandari y6a Itungi na mpango huo unalenga kusafirisha makaa yam awe kutoka ngaka, Mchuchu hadi Itungi kupitia Ziwa nyasa ambapo uzalishaji wa umeme unaweza kufikia megawati 1000 kwa kutumia makaa Geothermal" alisema Nasari

Umeme utakaozalishwa utaunganishwa katika gridi ua Taifa kutoka Mbeya na kuziotaja changamoto zilizopo katika utekeleza wa miradi hiyo ya mchuchuma na Liganga kuwa ni pamoja na miundombinu ya barabara,reli na umeme.

Awali makamu mwenyekiti wa kamati hiyo Filikunjombe alisema kuwa utekelezaji wa miradi hiyo kwa wakati utasaidia kukuza maendeleo ya Taifa pamoja na kufungua milango ya kimaendeleo katika wilaya ya Ludewa .

Hata hivyo alisema sehemu ya changamoto ambazo wilaya hiyo inakabiliwa kama barabara upo mkakati wa serikali kutegeneza barabara ya lami kutoka Njombe hadi Ludewa japo alitaka wawekezaji hao kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi hiyo na kuepuka ubabaishaji.

Source: Francis Godwin - Iringa
 
Huu ni utajiri wa mkoa mpya wa Njombe baada ya kujitangazia uhuru kutoka mkoa wa Iringa.
Wiki ijayo nitawaletea utajiri wa mbuga za serengeti.
 
mimi ningeanza na ushauri badala ya lawama kwamba tuishinikize katiba iwe na kipaumbele kikuu cha elimu kwa vijana wapate nafasi za kusomeshwa ili walitumikie taifa,elimu inayopaswa itolewe kipaumbele ni elimu ya juu namanisha vyuoni nakuendelea,elimu hii iendane na mambo yote anayopaswa kijana kuyapata anaporudi uraiani ikiwemo kazi na zaidi katika madini na uwekezaji hapa nchini tunaitaji vijana waliobobea katika fani hii nasio watukutoka nje ni kweli ila kwasasa waliopo wawepo na tukiwa na wataalamu wetu wa madini waondoke.
 
Watanzania tujifunze kujitegemea sio kuomba misaada yenye masharti nafuu ya Ubinafsichaji.
 
Back
Top Bottom