Tunachezea DEMOKRASIA?

Bongolander

JF-Expert Member
Jul 10, 2007
5,067
2,197
Wakuu naona ni kama sasa hivi tunaelekea upande wa kuchezea demokrasia hapa Tanzania. Mambo yanayoendelea yafanya nchi yetu ionekana kama kundi la Pwagu na Pwaguzi. Hivi ni kweli tunaendesha nchi kwa kutumia akili zetu? au tunaiga tu kwa kuwa Ulaya wanafanya hivi na vile, bila kujali mazingira yetu yakoje.

Ni kweli tunahitaji chaguzi ndogo in the current form? Isn't there any other smarter way of getting a person to fill the post when the constituent is vacant for whatever reason may be? Sure there is

Suppose tunakuwa na chaguzi ndogo ishirini, thelathini or let's say 50. Maana hatuna utaratibu wa ku-screen afya za wagombea ubunge ili kujua kama wako fit kuwa wabunge kwa miaka mitano au la, kwa hiyo kimsingi la wabunge wetu kupoteza maisha linaweza kutokea. Suppose Mungu anawachukua 50 kwa mwaka, who will pay for all those by-elections? Au by elections za sasa ni nani anazilipia, fungu hilo lilitoka wapi na lilitengwa lini?

Leo tumeona habari kuwa Ikulu imekanusha kwamba haina mkono katika kumtoa Lema bungeni, let is try to believe that. Lakini je mchezo wa watu wa juu kuamua nani awe mbunge na nani asiwe mbunge, unaweza kutuletea kina Nassari wangapi, na kukitafuna chama tawala? Au Kushindwa kwa Siyoi revenge ndio Arusha, kumuondoa Lema? OK, fine. But who is paying for it?
 
Mkuu maelezo yako yanamaswali yamsingi na yanamaana kubwa kiasi kwamba yanaitaji kujibiwa kitaifa,lakini naomba nikkumbushe jambo moja.Tanganyika hakuna demokrasia yakweli bali tupo kwenye kindi champito kuelekea demokrasia yakweli.uwezi kutamka demokrasia kwenye taifa lililojaa viongizi wanafki,wabnafsi,wala rushwa,ksha ukataja demokrasia.
 
tatizo bado tuna matatizo ya msingi, tulio wengi tuna tatizo la uzalendo wa taifa letu. Ccm hawaamini kama tanzania inaweza ikaongozwa na chama kingine. Ndio maana wameanza kutumia mahakama kuvua wapinzani wao ubunge. Tusubiri segerea kama haki itatendeka.
 
Hakuna utawala wowote duniani uliokua na mwanzo ukakosakuwa na mwisho ccm mwisho wao umefika , wanatapatapa kifo ni dhahiri kinawakabili hawanatena jinsi ya kujinasua
 
menemene tekeli na pelesi. Lakini for the time being we are wasting money, we have much more important and urgent things to do, than by elections. Hela ya by-election moja inaweza ku-equip hospitali ya mwananyamala kwa vitanda vingi vinavyoweza kupunguza tatizo moja la wagonjwa kushare vitanda, lakini wanasiasa wanaona nafasi zao kisiasa ni muhimu zaidi kuliko wapiga kura. This must change, can't wait.
 
Back
Top Bottom