Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
Kazi umepata mkuu!Aisee, naomba kazi ya u coach kwenye hiyo team, mimi ni profeshno kabisa ila vyeti vilipotea kwenye ajali ya mv.Skagit
Kazi umepata mkuu!
Ila weka picha hata ya uzoefu wako huko NYUMA itakubalika
Aisee, naomba kazi ya u coach kwenye hiyo team, mimi ni profeshno kabisa ila vyeti vilipotea kwenye ajali ya mv.Skagit
Tulishaweka UTARATIBU wa kuchangia hoja unatakiwa uingie humu ukiwa na akili timamu!sasa mbuzi mzee mbona inaonekana kama ndizi iko kwa nyani kwa jinsi huyo shosti alivyokaa.
sorry kiherere kiliniponza sikuwa makini.Tulishaweka UTARATIBU wa kuchangia hoja unatakiwa uingie humu ukiwa na akili timamu!
Uliambiwa aliyerusha hii thread ni huyo uliyemtaja?
Acha MAJANIi mkuu ya bila kula, utadata!
:focus:oa
Kazi umepata mkuu!
Ila weka picha hata ya uzoefu wako huko NYUMA itakubalika
when nothing goes right go left kweli umeenda leftmkuu natarajia kupata uzoefu mbeleni, nakuhakikishia utafurahia huduma yangu!
Unashangaa nini?itakubalika nyuma tena!!?