Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Umepewa sarafu tatu zinazofanana na mzani,sarafu mbili zinalingana uzito na moja ina uzito mkubwa ukilinganisha na mbili zilizobaki.Je utafanyaje ili uijue hiyo sarafu yenye uzito mkubwa.Unatakiwa kutumia mzani mara moja tuu kupima uzito wa sarafu hizo kama utahitaji.