Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
Habari wakuu nimeona nirudi tena Jamvini kuuliza swali hili. Mimi ni mtanzania kwa kuzaliwa na naipenda nchi yangu, swali ni hivi tumekuwa tukisikia kuwa Nchi mbali mbali na baadhi ya nchi haziaminiki kwa masuala yote sio watu wake bali hata Gov yake ilivyo Usanii mtupu. Juzi juzi nilisikia Mh. Membe yupo katika Kinyang'anyiro cha kuwa Mkuu wa Mission inchini Sudan sasa walikuwa wanagombea kama wanne Mh.Membe, Wanageria Wawili na Botwana mmoja sasa kwakuwa Botwasa wako nyuma sana na UN tukaona Asilimia 100% atapata Mhe. Membe kumridhi Adada cha Kushangaza UN jana Wametangaza Kuwa ni Mnageria ameshinda sasa sijui sisi watanzania tuko na nuksi gani? naomba Kama Mh. Membe atasoma haya atupe data kamili au kama Una Mtu anafahamu kwani mimi uelewa wangu mdogo na nipo huku Kanda ya Ziwa Nilisikiliza VOA.