Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, kuna viroja vingi vinatokea. Mheshimiwa Membe aliwahi kukaririwa na Watanzania akisema kuwa anawajua na atawataja watanzania wote waliohusika na rushwa katika ununuzi wa rada. Na akasema wabaya wake wote kisiasa wakae chonjo kwani akiupata urais, watamkoma.
Juzi tumemsikia waziri wa sheria na katiba na kauli yake kupigiliwa msumari na rais JK akisema hakuna rushwa na pia hakuna mtanzania hata mmoja aliyehusika na rushwa katika ununuzi wa rada hiyo. HAWA WOTE NI VIONGOZI WA SERIKALI, TUMUAMINI NANI NA TUSHIKE LIPI? Je, kulikuwa na rushwa ama hakukuwa na rushwa?
Juzi tumemsikia waziri wa sheria na katiba na kauli yake kupigiliwa msumari na rais JK akisema hakuna rushwa na pia hakuna mtanzania hata mmoja aliyehusika na rushwa katika ununuzi wa rada hiyo. HAWA WOTE NI VIONGOZI WA SERIKALI, TUMUAMINI NANI NA TUSHIKE LIPI? Je, kulikuwa na rushwa ama hakukuwa na rushwa?