MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Thabeet ngugu yangu, anayekulaumu anakupenda na anayekushauri anakutakia mema. Bado nafasi ya kurekebisha udhaifu wako unayo, unalopaswa kufanya ni juhudi, juhudi, juhudi. Kurudi kwako katika kiwango sio tu kutakubakisha hapo ulipo lakini kutawapa moyo na ari vijana wote hasa wa bongo ambao wamewekeza imani na matumaini yao kwako. Usiwavunje moyo. Jitahidi na utafanikiwa. KILA LA HERI THABEET