tumsaidie ndugu yetu lusinde shule za kata zipo nyingi. tumrudishe darasani.

mmeku

Member
Aug 7, 2011
43
11
tumsaidie ndugu yetu lusinde shule za kata zipo nyingi. tumrudishe darasani. ... huyu jamaa tusimlaum nlipata bahati ya kujua elimu yake. kumbe ameishia darasa la saba bana. akaenda kusoma chuo cha siasa cha ccm . sasa sijui huko ndiko alikojifunza mitusi yake
ila elimu yake ina mruhusu kufanya anachojiskia. coz asingekuwa bungeni angekuwa kondakta wa dala dala za mbagala kawe. ndiko kwa vichaa wenzake.
huyu jamaa simweli yaani anatakiwa aombe nafasi ya kurudi darasani chini ya udhamini wa ccm. mbona shule za kataa ni nyingi saana. anaweza kuingia QT elimu ya watu wazima atleast afike form 4 inatosha.
elimu hii itamsaidia kumfungua ubongo wake ambao ni mzito saana
alishndwa kutofautisha mchana na usiku miwani nyeusi aliovaa ikamdanga kwamba yuu salama
si jambo la kumlau huyu jamaa uwezo wake wa kufikiri ulifika kikomo. ni wakati wa kumpa msaada ndugu yetu lusinde
tumsaidie aweze kutafakari kabla ya kutenda
ndugu zangu wa cdm huyu jamaa historia yake inaonyesha alishaugua matatizo ya kichwa. hivyo basi msuli yake ya kichwa hairuhusu mzunguko mzuri wa hewa kichwani na kumpunguzia uwezo wa kufikiri

elimu ni haki ya kila Mtanzania. tumsaidie ndugu yetu lusinde arudi darasani
 
Back
Top Bottom