Mtalii,
Hayo yote ni mawazo ya mtu kama navyoweza andika kitabu kuhusu Utawala wa Kikwete na kuuhusisha na tuseme kamati ya ufundi..
Naweza andika kitabu kumhusisha Karume na kanisa la anglican ama Kotoliki Zanzibar yote haya ni tungo za mtu kutokana na kuwepo uhuru wa kila mtu kuimani anachokitaka...
Kesho utakuja sikia kuwa mimi hapa nimebadilisha dini na kuwa Baniani kwa sababut nilionekana jamatini kuhudhulia mazishi ya Patel, basi yakavutwa mahusiano yote ya kibiashara kati yangu na huyo Patel kuonyesha jinsi nilivyoiacha dini yangu na kuwa singasinga...
Please hao wote walioandika vitabu hivyo are loosers kimaisha na pepo, na kwa hasira zao wakaja na hizi habari za kuingiza Utawala na dini hali tunaoyafanya yote haya ni sisi waislaam wenyewe. Nilikwisha kwambia kuwa Mauaji ya mwembechai nakumbuka kabisa mmoja wa wapeplelezi wakubwa wa kituo cha Mwembechai alikuwa Muislaam na alihusika sana na mauaji hayo pamoja na kwamba anaweza sema order ilitoka juu.
Wewe na mimi ni part ya huu mchezo na kama walivyochezewa Wahutu na watusi, Wajaluo kwa Wakikuyu ni mchezo wa kisiasa ambao unatafuta sababu kukamilika... Kwa Tanzania Dini ni njia pekee ya kutenganisha watu na siasa inafanya kazi yake.
Hayo yote ni mawazo ya mtu kama navyoweza andika kitabu kuhusu Utawala wa Kikwete na kuuhusisha na tuseme kamati ya ufundi..
Naweza andika kitabu kumhusisha Karume na kanisa la anglican ama Kotoliki Zanzibar yote haya ni tungo za mtu kutokana na kuwepo uhuru wa kila mtu kuimani anachokitaka...
Kesho utakuja sikia kuwa mimi hapa nimebadilisha dini na kuwa Baniani kwa sababut nilionekana jamatini kuhudhulia mazishi ya Patel, basi yakavutwa mahusiano yote ya kibiashara kati yangu na huyo Patel kuonyesha jinsi nilivyoiacha dini yangu na kuwa singasinga...
Please hao wote walioandika vitabu hivyo are loosers kimaisha na pepo, na kwa hasira zao wakaja na hizi habari za kuingiza Utawala na dini hali tunaoyafanya yote haya ni sisi waislaam wenyewe. Nilikwisha kwambia kuwa Mauaji ya mwembechai nakumbuka kabisa mmoja wa wapeplelezi wakubwa wa kituo cha Mwembechai alikuwa Muislaam na alihusika sana na mauaji hayo pamoja na kwamba anaweza sema order ilitoka juu.
Wewe na mimi ni part ya huu mchezo na kama walivyochezewa Wahutu na watusi, Wajaluo kwa Wakikuyu ni mchezo wa kisiasa ambao unatafuta sababu kukamilika... Kwa Tanzania Dini ni njia pekee ya kutenganisha watu na siasa inafanya kazi yake.