Tumpe Rais Kikwete heshima yake

Mbona hukusema kitu wakati hao unaowatetea wanapoongea lugha zisizofaa kwa raia?...stop that biaseness
 
Kila mtu hatakiwi kudharauliwa wla kukejeliwa.
Dharau na kejeli siyo nzuri kwa yeyote yule, awe kiongozi au raia wa kawaida.
Hii thread ilivyo inaonesha kuabudu viongozi zaidi ya watu wengine ambalo ni kosa kubwa katika jamii.
Wote hatuwezi kuwa viongozi ila utu wetu ni sawa.
Yawezekana kejeli zinatokana tu na hasira za kuona uzembe na ukosefu wa uelewa wa watu waliokabidhiwa dhamana ya kutuongoza na ni kiashirio kwamba sisi kama jamii kwa ujumla tuna kila sababu ya kulaumiwa kwa kutokuwa makini na kuchagua wenzetu ambao hawawezi post zao au kuruhusu upendeleo wa kirafiki na kindugu bila kuangalia uwezo.
Tunatakiwa kujiuliza kwa nini viongozi wakejeliwe?
 
Kila mtu hatakiwi kudharauliwa wla kukejeliwa.
Dharau na kejeli siyo nzuri kwa yeyote yule, awe kiongozi au raia wa kawaida.
Hii thread ilivyo inaonesha kuabudu viongozi zaidi ya watu wengine ambalo ni kosa kubwa katika jamii.
Wote hatuwezi kuwa viongozi ila utu wetu ni sawa.
Yawezekana kejeli zinatokana tu na hasira za kuona uzembe na ukosefu wa uelewa wa watu waliokabidhiwa dhamana ya kutuongoza na ni kiashirio kwamba sisi kama jamii kwa ujumla tuna kila sababu ya kulaumiwa kwa kutokuwa makini na kuchagua wenzetu ambao hawawezi post zao au kuruhusu upendeleo wa kirafiki na kindugu bila kuangalia uwezo.
Tunatakiwa kujiuliza kwa nini viongozi wakejeliwe?
umenigusa mnoo mkuuu, na huo ndiyo ukweli
naona jamiii katumwa kuanzisha dini ya kuwaabudu viongozi, asiyekejeliwa na kukosolewa
ni Mungu tu, lakini mwenye kejeli kwa mwenziye, kwa nini asaikejeliwe
 
Kwa viongozi wasio zingatia Demokrasia, Uwajibikaji na wasio na Maadili kamwe usitarajie waheshimiwe na wananchi..achana kabisa nidhamu ya uoga ndugu yangu wataendelea kujibiwa na kujadiliwa kwa lugha wanayotumia kwetu.
 
Umekurupukia wapi na wewe? Sasa wakuheshimiwa yuko wapi? JK? Mtu tunamuona anazuga kabisaa watu tusiseme kwa kumheshimu? JIheshimu chapa kazi uheshimiwe. Nyie ndo wenye nidhamu ya woga mtu kakukanyaga na kisigino cha kiatu anakuuliza nakuumiza unamjibu mm mm siumii huku machozi yana kulenga lenga. Acha watu wajimwage wewe umeshaona mtu mwingine amabye ni chapa kazi kadharauliwa humu ebu sema kama vile Magufuli, slaa, zitto .....nk. Uzugaji ndo unawakera watu. Juzi kidogo awaambie polisi wakae mguu sawa kuua watu wa TUCTA mpaka akatoa mfano wa miaka ile kwenye mashamba ya miwa, wakuheshimiwa huyo?

Kaa pembeni
 
Wengi wa watanzania ni walalamikaji tu, hawawajibiki kwa makosa yao wenyewe. Mimi sioni sababu ya kumsema vibaya rais wetu Mpendwa JK. Kwani hana makosa.
Watanzania wengi wanatumia uchaguzi vibaya na hawataki kuwajibika kwa makosa wafanyayo katika uchaguzi. JK hakujichagua mwenyewe, wala hakuchaguliwa na CCM tu. Bali alichaguliwa na watanzania wote na hivyo mnapomlaumu ni sawa na kujilaumu wenyewe, lakini kumlaumu kikwete ni kumbebesha mtu mzigo usio wake. Hapa watu wenye kustahili lawama ni watanzania waliomchagua.
Kama huamini hii subili Uchaguzi ujao pamoja na haya yote bado kikwete atashinda kwakishindo. Hebu tujiulize ni nani atakayemchagua? Kama si hawa hawa wanaolaumu leo. Mimi sioni sababu ya kulaumu na tukimlaumu yeye tunamuonea, tuwalaumu waliomchagua. Sisi tunapaswa kuchapwa na hali ngumu ya maisha. Kwani hakuna mwalimu mzuri duniani kama Maisha.
Wengi wa watu wanaolaumu hata hawapigi kura, kazi yao ni lawama tu. Kitu ambacho ni sawa na kelele za chura ambazo hazimzuii Tembo kunywa maji. Mtu muhimu kwa mwanasiasa ni mpiga kura, mpiga kura si mtu tu aliye na akili timamu namwenye kitambulisho cha mpiga kura. Mpiga kura ni mtu anaye piga kura anayeshiriki kupiga kura toka ngazi ya chama mpaka taifa. Kwani viongoza wanatoka kwenye chama, sasa wewe unasubili chama kikuchagulie halafu ukiletewa mbovu, hupigi kura. Hapa unaishia kulaumu tu.
Kila mtu ukimuuliza uchaguzi ujao vipi? Pamoja na kumlaumu sana atakuambia kuwa kikwete anashinda tu, wanasahau kuwa maneno huumba. Wakiisha umba wanarudi tena kulaumu. Ni bora kukaa kimya tu. Maana hata unaposema kikwete atashinda tu ni kuumba tu, wanakatisha watu tamaa ya kuleta mabadiliko. Utasikia CCM wanaiba kura, Je unapiga kura? Ni swali la kwanza kujiuliza.
Uchaguzi mwema.
 
Nakubaliana na wewe. Nimekuwa nikisema kwa muda mrefu kuwa tatizo la Tanzania lipo kwa wananchi wenyewe kwa kuchagua viongozi wabovu, wanaowasaliti, miaka nenda rudi. Utakuta viongozi wanavurunda, hakuna maendeleo, wanaibia nchi, lakini utakuta bado wanapewa wadhfa wa kuwa madarakani. Ni wakati umefika kwa kuacha kulalamika na kutimiza wajibu na haki yao ya kuchagua viongozi bora. Uwezo huo mnao na uko katika mikono yenu. Msidanganywe na kofia, t shirts, kanga, pilau na pesa. Mkipewa chukueni, lakini siku ya kupiga kura ukiwa peke yako, piga kura yako ya SIRI, kwa kumchagua kiongozi atakuyekufaa.
 
Wengi wa watanzania ni walalamikaji tu, hawawajibiki kwa makosa yao wenyewe. Mimi sioni sababu ya kumsema vibaya rais wetu Mpendwa JK. Kwani hana makosa.
Watanzania wengi wanatumia uchaguzi vibaya na hawataki kuwajibika kwa makosa wafanyayo katika uchaguzi. JK hakujichagua mwenyewe, wala hakuchaguliwa na CCM tu. Bali alichaguliwa na watanzania wote na hivyo mnapomlaumu ni sawa na kujilaumu wenyewe, lakini kumlaumu kikwete ni kumbebesha mtu mzigo usio wake. Hapa watu wenye kustahili lawama ni watanzania waliomchagua.
Kama huamini hii subili Uchaguzi ujao pamoja na haya yote bado kikwete atashinda kwakishindo. Hebu tujiulize ni nani atakayemchagua? Kama si hawa hawa wanaolaumu leo. Mimi sioni sababu ya kulaumu na tukimlaumu yeye tunamuonea, tuwalaumu waliomchagua. Sisi tunapaswa kuchapwa na hali ngumu ya maisha. Kwani hakuna mwalimu mzuri duniani kama Maisha.
Wengi wa watu wanaolaumu hata hawapigi kura, kazi yao ni lawama tu. Kitu ambacho ni sawa na kelele za chura ambazo hazimzuii Tembo kunywa maji. Mtu muhimu kwa mwanasiasa ni mpiga kura, mpiga kura si mtu tu aliye na akili timamu namwenye kitambulisho cha mpiga kura. Mpiga kura ni mtu anaye piga kura anayeshiriki kupiga kura toka ngazi ya chama mpaka taifa. Kwani viongoza wanatoka kwenye chama, sasa wewe unasubili chama kikuchagulie halafu ukiletewa mbovu, hupigi kura. Hapa unaishia kulaumu tu.
Kila mtu ukimuuliza uchaguzi ujao vipi? Pamoja na kumlaumu sana atakuambia kuwa kikwete anashinda tu, wanasahau kuwa maneno huumba. Wakiisha umba wanarudi tena kulaumu. Ni bora kukaa kimya tu. Maana hata unaposema kikwete atashinda tu ni kuumba tu, wanakatisha watu tamaa ya kuleta mabadiliko. Utasikia CCM wanaiba kura, Je unapiga kura? Ni swali la kwanza kujiuliza.
Uchaguzi mwema.
kasyabone tall, mkubwa ni jalala, asipolaumiwa yeye, alaumiwe nani?.
Unapokuja na utetezi wa fulani dhidi ya shutuma au lawama dhidi yake, lazima kwanza uzipangue pili utoe wasifu wake, hivyo ili umtee vizuri rais wetu Kikwete, pangua hizo shutuma zake na lete mazuri yake yanayostahili sifa/pongezi.

Yes October, atachaguliwa tena kwa ushindi wa kishindo, sio kwa sababu ndie rais bora, ni kwa sababu tuu ya mazoea, Hata Rostam atachaguliwa tena Igunga, hata Chenge atachaguliwa tena kwa kishindo, vivyo hivyo kwa Lowassa, Dr. Msabaha na Karamagi, hata Mramba na Yona akiamua kugombea tena. Hata Mgonja.

Hata Liyumba angeachiwa jana, angegombea kupitia CCM na angeshinda sambamba na Rajabu Maranda, yoyote atakayegombea CCM kwenye maeneo ya Mazezeta, lazima ashinde, sio kwa sabanu ni msafi, bali kwa sababu Watanzania walio wengi bado ni mazezeta.

Good news, hawawezi kuwa mazezeta miaka yote, kuna siku wataamshwa na wataamka na kuacha uzezeta. Hiyo siku inakuja na haiko mbali sana, kama sio 2015 basi mwisho ni 2020!.
 
jk ni mtendaji mzuri tu wakazi, wanaomsakama wana lao jambo

Hebu taja kazi tano tu au ahadi zake tano alizotuahidi Watanzania 2005 ambazo ameshazitekeleza hadi leo hii.....jibu ni sifuri....sasa huu utendaji mzuri ambao wewe unauzungumzia sijui ni utendaji upi hasa....labda wa uVDG!
 
Nakubaliana na wewe. Nimekuwa nikisema kwa muda mrefu kuwa tatizo la Tanzania lipo kwa wananchi wenyewe kwa kuchagua viongozi wabovu, wanaowasaliti, miaka nenda rudi. Utakuta viongozi wanavurunda, hakuna maendeleo, wanaibia nchi, lakini utakuta bado wanapewa wadhfa wa kuwa madarakani. Ni wakati umefika kwa kuacha kulalamika na kutimiza wajibu na haki yao ya kuchagua viongozi bora. Uwezo huo mnao na uko katika mikono yenu. Msidanganywe na kofia, t shirts, kanga, pilau na pesa. Mkipewa chukueni, lakini siku ya kupiga kura ukiwa peke yako, piga kura yako ya SIRI, kwa kumchagua kiongozi atakuyekufaa.

Hiii ndio nilikuwa nasema muda tunaoutumia kuandika humu tuutumie hiyo hivyo katika kupiga kura, Na hiyo ndo itakayoweza kuwatoa hawa ambao wameifanya nchi hii kuwa yao. Hakuna short cut! Piga kura muondoe yule usiyemtaka.
 
Hivi mbona humu ndani tunageuzana kuwa ma mbumbu???? [Sijiingizi kwenye malumbano yaliyo kwenye hoja ila imejitokeza kahoja kengine ndani ya hoja kuu ambayo tumemskama aliyemuuliza Mbowe kuhusu Bilicanas]
Mbowe ametoa kauli hiyo kwa Rais [ambaye ndiyo muajiri mkuu kwa kutowalipa wafanyakazi wake hicho kima cha mshahara. Mchangiaji mwingine naye akamuuliza Mbowe huyo huyo anayelilia maslahi bora kwa wafanyakazi Jee yeye kama mwajiri anawalipa kiasi hicho wafanyakazi wa pale BILICANAS?
Naona imekuwa nongwa kwa nini????? au mishahara bora ni kwa wafanyakazi serikalini peke yake???? Mazee vipi????
Bilicanas inahusika vipi na Kikwete kushindwa kufanya kazi? bro be proactive to what is on the table, hapa maada ni kikwete's failure to provide good and better life to Tanzanians na si Bilicanas-------
 
Mzee mwanakijiji inaonesha unataka kisa/mkasa na rais.

Kumbuka heshima kwa tamaduni zetu, kwamba wazee wetu hata vibabu dhaifu wakitufokea au hata wakitupiga huwa hatuwarudishii kwa kuheshimu ukubwa wao ilhali uwezo huo tunao. Huwa tunatafuta njia nzuri za heshima kukaa nao.

Jengine ikiwa ndio siasa,mbona kwa Kikwete zaidi!

Tabia na matendo yake Jakaya ndio yanawafanya watu wasimheshimu; toka nchi imepata uhuru mwaka 1961 , je unakumbuka kusikia kuwa rais wa nchi ametupiwa mawe na wananchi? Lakini hii ilitokea kwa Jakaya sasa nijuu yako ujiulize kwanini? Nyumbani kama baba hajiheshimu ,hata wanawe watamdharau.
 
Siipingi hoja yako, unao uhuru wa kujieleza. I strongly feel that you should intelligently demonstrate that what you are saying is valid and true. Ulivyoileta ni kama hoja ya kijiweni, hakuna facts. Kwa maana hiyo hapa utazomewa tu na wana haki hiyo. Pole sana.

na wewe nawe unataka facts gani..haya fact nyingine ni kuwa serikali inagharamia na kuilipa timu ya soka ya Brazil sh 3bilion kuja kucheza mechi na taifa stars....hii ni akili au matope bado mnataka facts tu .....
 
Huyu Mgaya ana nini?.
Kanuni za maadili katika utumishi wa umma za mwaka 2005 zinawataka watumishi kuwa watiifu kwa serikali iliyoko madarakani na kufanya kazi bila kujali itikadi za masuala ya kisiasa.
Kauli ya Mgaya inalenga kuwahamasisha watumishi wafanyakazi wakiwemo watumishi wa umma kuwachagua viongozi watakaokuwa wamekubaliwa na Tucta hatua itakayowafanya kukiuka maadili ya utumishi.
Inashangaza kwa kuwa serikali inasema madai yote ya wafanyakazi yaliishajadiliwa na kufikia mwisho na kwamba mengine ikiwemo kuongeza kima cha chini cha mshahara yameshafanyika.

Kichwa ngumu ya Mgaya ni dalili ya wazi kuwa anatumika kimalengo ya kisiasa.
 
Mnamo Mei 9 mwaka huu 2010 mwenyekiti wa CHADEMA bwana Freeman Mbowe alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Wasso huko Ngorongoro alimtaka raisi Jakaya Mrisho Kikwete ajiuzulu na kuondoka Ikulu mara moja. Kisa kushindwa kuwalipa wafanyakazi kiwango cha chini cha sh.315,000!

Kila siku za uchaguzi zinavyokaribia yaonesha watanzania wanazidi kukosa heshima kwa raisi wao. Kumfukuza rais aliyechaguliwa namna hii pia ni kuwakosea heshima mamilioni ya watanzania waliomchagua.

Sababu za kushindwa kuwalipa wafanyakazi kima cha chini Kikwete alizieleza na nyinyi mwawajua wanaofilisi uchumi wa nchi, mbona makucha yenu hamjayakunjua kiasi hicho kwao.

Rais wetu akicheka mwanuna na akinuna kwenu ni nongwa. Nyinyii!

Sijui umeagizwa kuyasema hayo???!!!!
Hapo kwenye nyekundu naomba nikugeuzie kibao (WEWE!)
Habari ya nidhamu ya uoga imepitwa na wakati..... Watanzania inabiidi tuamke sasa, tumekuwa tukifumbia macho maswala ya muhimu yanayopelekea kudidimia kwa uchumi wetu. Mimi binafsi nampongeza sana Mbowe kwa kauli yake....Natamani nchi hii watu wangekuwa macho kama wale wa mikoa ya kipolisi huenda tusingekuwa na viongozi wasiokuwa na uwezo wa kuiongoza nchi hii....
Huenda unaona kikwete kakosewa...la hasha ..amestahili kwakuwa yeye mwenyewe amekuwa na kauli ambazo zinafanya hao waliompa kura wajiulize mara nyingi....
Kuwa kiongozi wa nchi kuna maana kubwa sana ktk jamii....siyo kama ambavyo amekuwa akiropoka juu ya maswala muhimu na kudai yuko tayari kuzikosa kura za wafanyakazi....Kauli zake za kera sana nikiangalia pya slip yangu nakatwa pesa kibao zinazomfanya afurahie maisha..Aaaaaaarrrrgggggggg
 
jk tumtimue kwa njia ya kura, hatufai hata kidogo, alianza kwa kumchagua shukuru kawambwa kuwa waziri wa miundo mbinu ili abadilishe mpango wa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa kutoka mkuranga kwenda kwao bagamoyo, hawana hata aibu, makao makuu ya nchi yetu (dodoma) hayana uwanja wa ndege wa kimataifa wao wanataka kujenga kwao bagamoyo, bandari pia inataka kujengwa bagamoyo, nini maana yake, bandari ya dar wamemuachia karamagi sasa wanataka jk naye awe na kabandari kake, ni wa kuogopwa kama ukoma jk hafai hata kidogo, kwa sababu tukimtaka atuachie urais wetu mnasema tunamkosea heshima, basi asubiri tutakavyomuaibisha kwenye sanduku la kura.:llama:
 
Back
Top Bottom