Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Utamaduni gani unaousema, that is stupid traditional heshima haiendi upande mmoja it is a two way traffic kama mzee wako hajiheshimu anatembea na visichana vidogo vya kuzaa bado huyo anastahili heshima? kwa siasa na maisha ya siku hizi utamaduni wako (wa zidumu fikra za m/kiti) hautekelezeki mbona mahakamani hawana sheria za wazee pekee.Mzee mwanakijiji inaonesha unataka kisa/mkasa na rais.
Kumbuka heshima kwa tamaduni zetu, kwamba wazee wetu hata vibabu dhaifu wakitufokea au hata wakitupiga huwa hatuwarudishii kwa kuheshimu ukubwa wao ilhali uwezo huo tunao. Huwa tunatafuta njia nzuri za heshima kukaa nao.
Jengine ikiwa ndio siasa,mbona kwa Kikwete zaidi!
Rais mwenyewe ndiye kaanzisha matusi kwa wafanyakazi, yeye ni rais kuwaambia wafanyakazi(watoto) hata wakigoma kwa miaka minane haisaidii kitu, maana yake nini hata ukilia usiku kucha hupati chakula si kauli nzuri ile ni utovu wa nidhamu kwa watoto wake, kwa nini na yeye hakutafuta lugha nzuri au njia nzuri kama unavyosea kuongea na wafanyakazi(watoto)? Mbowe kumwambia ameshindwa kazi ni sahihi kabisa Mbowe ni kama anawakilisha kilio cha watoto, kama mzazi huwezi kulisha watoto wako hustahili kuitwa mlezi mzuri. He deserves tena nchi yetu inaheshimu sana viongozi wake kuna nchi zingine hutupiwa mayai viza au kuzabwa vibao.