charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Jamani sio vizuri kumdai katiba mpya jaji CHANDE wakati ndio kwanza ameapishwa jana. Tumpe kiasi cha muda kwanza apunguze kesi nzito zilizoko mahakani. Vyombo vya habari viwe fair.
Jaji mkuu mstaafu hana haki ya kujadili hoja hii kwani yeye ilimshinda.
Jaji mkuu mstaafu hana haki ya kujadili hoja hii kwani yeye ilimshinda.