Tumombee Ammaar- Mtanzania Mwenzetu Kwenye Mashindano Ya Olympic Kesho Tare 31.7.2012 Ashinde

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
Ammaar Ghadiyali will be swimming on Tuesday 31st July at 10am London time.The Dar time will be 12 in the afternoon.

MAIL RECEIVED FROM AMMAAR:



Dear All

I visited the Olympic village yesterday where all the atheletes are residing. Atheletes were given an opportunity to hold one of the actual "Olympic Torch" at the main center of the village where the symbol of olympic - 5 rings are erected.


Here are some pictures...…..
Ammar 1.png
Ammar and his Father Shabbir Ghadiyali at Olympic Village in London 2012.

Ammaar 2.png



Ammar 4.png
 
Ammaaar tuko nyuma yako tunajua ni juhudi binafsi zimekufikisha hapo na tunaamini umedhamiria kutufuta machozi kwa kutokuwa na medali miaka zaidi ya 30 .Mungu akutangulie na sisi tuko nyuma yako.
 
770d326c-5d1b-4101-8ecc-2aff2784f743.jpg



Kila la kheri kijana ni lazima ututoe kimasomaso.

Kama wafahamu wenzio wataingia kwa dharau sana wakiona kijana wetu unataka kuweka record lakini usibabaishwe wewe uwe focused na free style yako.

Nikupe story kidogo mwaka 2000 kule Sydney kulikuwa na kijana mmoja kutoka Equtorial Guinea anaitwa Eric Moussambasi. Aliteka mawazo ya vyombo mbalimbali vya habari duniani kwa mtindo wake wa kuogelea polepole na ikawa inadhaniwa kuwa asingeweza kumaliza mchezo alipokuwa akitumia hiyo free style yake.

Yeye katika hizo mita 100 alitumia dakika 1 na sekunde 52:72 kumaliza na hata kuwashinda wale wa mita 200. Eric aliingia kwenye timu ya kuogelea kwa mfumo wa wildcard baada ya waogeleaji wawili kutolewa kushiriki mashindano hayo kutokana na kushindwa kufikia viwango.

Eric hakuwahi kutumia pool la kuogelea na alijifunza muda usiozidi mwaka mmoja akitumia pool ya hotelini alikokuwa amepangiwa na serikali.

Lakini juhudi, bidii na maarifa vilimfanya aweze kumaliza kuogelea na kuwa gumzo kwa watazamaji. Bila shaka wewe umejiandaa vya kutosha na umetumua pools za aina nyingi tu na labda mzee wako amekusaidia vya kutosha.

Kwahio kijana jitahidi sisi tunasubiri juhudi zako kesho, Mungu akubariki, Amen
 
Back
Top Bottom