Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
asalam aleikum, ndugu zangu wna jf hebu tujadili sifa kuu za mume *****. 1. HUSHAWISHIWA NA MKEWE ADHARAU,AWACHUKIE NA KUWATENGA NDUGU NA WAZAZI WAKE...endeleza sifa........
asalam aleikum, ndugu zangu wna jf hebu tujadili sifa kuu za mume *****. 1. HUSHAWISHIWA NA MKEWE ADHARAU,AWACHUKIE NA KUWATENGA NDUGU NA WAZAZI WAKE...endeleza sifa........
asalam aleikum, ndugu zangu wna jf hebu tujadili sifa kuu za mume *****. 1. HUSHAWISHIWA NA MKEWE ADHARAU,AWACHUKIE NA KUWATENGA NDUGU NA WAZAZI WAKE...endeleza sifa........
Awe na mbwembwe kidogo, ajue kupiga mashine vizuri, awe msafi, anukie, asiwe mmbea, awe na uwezo wa kuitazama k**a hadi machozi yamtoke!
hili halina ukweli wowote. Wanawake wenye tabia kama hizi ni wale ambao hawajiamini na wanaodhani kwamba mume kuwa karibu na ndugu zake basi ni kuhatarisha uhai wa ndoa yao. Nimewaona wake wengi tu ambao wanaweka jitihada za hali ya juu ili wawe karibu na ndugu wa mume wakiwemo wazazi wa mume.
Unawazungumzia wamanawake wa zamani au wa sasa??
SIFA ZA MUME bWe.GeNini hiki?
wanawake wanaopenda kuwa karibu na ndugu wa mume wako wengi sana ila kuna baadhi ya wanawake wanapenda kuwatenganisha mume na ndugu zk ht mke wng anatabia hy.wengi wao niliopata kuwafahamu kwa karibu nimeona juhudi zao kubwa za kuwa karibu na ndugu wa upande wa mume. Sijui unaposema wa "sasa au wa zamani unamaanisha nini"...hebu fafanua hapo.
unanishaurije kuhusu huyu wakwangu?mwanaume wa kukupenda na kuwachukia na kuwadharau ndugu zake labda utakuwa umempata kwenye viroba.
Awe na mbwembwe kidogo, ajue kupiga mashine vizuri, awe msafi, anukie, asiwe mmbea, awe na uwezo wa kuitazama k**a hadi machozi yamtoke!
......Kujali familia yake na yangu hii ni sifa bora ya mume.
Awe na mbwembwe kidogo, ajue kupiga mashine vizuri, awe msafi, anukie, asiwe mmbea, awe na uwezo wa kuitazama k**a hadi machozi yamtoke!