Powa nitajaribu; ila mimi natumia software ya Join Air; hiyo aina haja ya kuangaika, ukishainstall tu kila ukiweka line kwenye mordem inadetect mtandao wowote. Tuendelee kusaidiana bandugu - kama kuna anayehitaji ani PM nimpatie
Powa nitajaribu; ila mimi natumia software ya Join Air; hiyo aina haja ya kuangaika, ukishainstall tu kila ukiweka line kwenye mordem inadetect mtandao wowote. Tuendelee kusaidiana bandugu - kama kuna anayehitaji ani PM nimpatie
Join air ni kwa zte tu huawei ney
Hahahaha mkuu unanivunja mbavu.kaka nimeshadownload hiyo software it seems it is going to be working bt tuambie hata procedure basi tusije kuharibu modem plz
HahahahaSystem misbehaviour imesababisha lundo la maneno yasiyoeleweka hapo juu. Samahani kwa kero zitakazojitokeza.
Fafanua usiishie njia... Kuhusu hiyo join airPowa nitajaribu; ila mimi natumia software ya Join Air; hiyo aina haja ya kuangaika, ukishainstall tu kila ukiweka line kwenye mordem inadetect mtandao wowote. Tuendelee kusaidiana bandugu - kama kuna anayehitaji ani PM nimpatie
Mkwawa now nimejiptia ka lumia kangtupo pamoja wakuu
download stream tube toka store halafu wakati wa match just search jina la timuMkwawa now nimejiptia ka lumia kang
Jana sasa nilizoe kodi kuangalia game huku nifanyaje nipate kutizama Mpira na mambo mengine hasa EPL ni lumia 535
Mambo matam si ndo kama haya sas. Hadi rahahey brothers and sisters nataka tushee hii trick of mine kutumia line yoyote ya mtandao wowote kwenye modem yoyote unayoitaka wewe bila ku unlock,(tigo, voda na airtel)
Fata hizi step
Chomeka modem na line isiokua ya mtandao sawa na modem then itakwambia invalid sim, ignore hio msg then close software ya modem
Open nokia pc suite (vizuri uwe na latest version) halafu click pale pa kukonektia na internet (one touch access) utaona tab itapop up then click configure halafu select modem yako mfano (huawei 153) click ok
Now connect na internet bila ku unlock modem, enjoooy
Kama utakua na tatizo u may ask
Mkuu.. Modem ya voda E303 inagoma kuconnect msaada tafadhalihey brothers and sisters nataka tushee hii trick of mine kutumia line yoyote ya mtandao wowote kwenye modem yoyote unayoitaka wewe bila ku unlock,(tigo, voda na airtel)
Fata hizi step
Chomeka modem na line isiokua ya mtandao sawa na modem then itakwambia invalid sim, ignore hio msg then close software ya modem
Open nokia pc suite (vizuri uwe na latest version) halafu click pale pa kukonektia na internet (one touch access) utaona tab itapop up then click configure halafu select modem yako mfano (huawei 153) click ok
Now connect na internet bila ku unlock modem, enjoooy
Kama utakua na tatizo u may ask
hii ni tutorial ya zamani ni almost impossible kufanya kazi kwenye modem mpyaMkuu.. Modem ya voda E303 inagoma kuconnect msaada tafadhali