Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,752
Wakuu......Majuzi wakati wa tamasha la utangulizi wa WC pale SOWETO kuna jamaa anaitwa TUMI MOLEKANE alipanda kumpa support SHAKIRA na kuimba naye wimbo wa Hips Don't Lie............Jamaa alitambulishwa kama anatoka Tanzania...........Swali ni; mbona hajulikani Bongo??????????????
Tumi Molekane - Wikipedia, the free encyclopedia
Tumi Molekane - Wikipedia, the free encyclopedia
Last edited by a moderator: