friendsofjeykey
Senior Member
- Aug 12, 2010
- 129
- 13
Maana kwa jinsi mentality za JF zilivyo basi huyu naye ataonekana ni ********* na anauhusiano wa karibu na ROSTAM na tatu he's another Johny Foreigner sasa kwa kawaida bila ya haya ushaidi ana fit the profile ya FISADI japo mwenyewe anaipenda Tanzania na anataka kutuletea wawekezaji lakini ndio hivyo tena, he's not white European so we have no option but call him all sorts of names maana ataambiwa anaisaidia CCM pia
huyu hapa:
Indian billionaire pledges huge boost to TZ tourism
huyu hapa:
Indian billionaire pledges huge boost to TZ tourism