Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Joe, ndugu PJ ni mtu muhimu sana na naweza kusema kuwa ni mhasisi wa kujenga ushirikiano katika matukio kama haya. Nakumbuka sana alivyohudhuria msiba wa Babu yangu kule Arusha pamoja na mvua kubnyesha na kuwa mbali lakini PJ bado alionyesha upendo wa hali ya juu. Nina uhakika atapata sapoti ya kutosaha sana katika hili kwa maombi na kwa wale watakaoenda moja kwa moja kwenye msiba huu. Pole sana PJMbarikiwe kwa upendo wenu. Tujenge hii tabia kwani rafiki wa kweli ni wakati wa shida. Pole PJ tuko pamoja nawe.
Sijambo Mama, Shikamoo, ngoja nikupm namba ya PJ MamaNi kweli Sipo nakumbuka alikuwa anatupa taarifa zote kwenye msiba ule. Hujambo lakini mwanangu. PJ ni line gani niku pm walau vocha umtumie. Nipo mikoani kwa muda.
Tunawashukuru wanaJF wenzetu kwa uwakilishi huo, hii inaonyesha ni jinsi gani tupo pamoja katika shida na raha, all in all pole sana PJ kwa kumpoteza Baba, RIP Baba PJ.Mimi, Chrispini, BHT, Geof, Ziondaughter na Kaizer tumewawakilisha wana JF wote kwenye msiba wa baba yake Pakajimmy maeneo ya kitunda na safari ilianza mida ya saa 8 kulekea Mbeya ambako mzee wetu atapumzishwa. Na tulivyowasiliana mida ya saa 11 walikuwa wamepita maeneo ya morogoro mjini.
Pakajimmy kafarijika na anawashukuru wana JF wote kwa support mliompa kipindi hichi kigumu.
Mimi, Chrispini, BHT, Geof, Ziondaughter na Kaizer tumewawakilisha wana JF wote kwenye msiba wa baba yake Pakajimmy maeneo ya kitunda na safari ilianza mida ya saa 8 kulekea Mbeya ambako mzee wetu atapumzishwa. Na tulivyowasiliana mida ya saa 11 walikuwa wamepita maeneo ya morogoro mjini.
Pakajimmy kafarijika na anawashukuru wana JF wote kwa support mliompa kipindi hichi kigumu.