Tumewawakilisha wote kwenye MSIBA WA BB YAKE PAKAJIMMY

ninyi ni watu muhimu sana na kitendo mlichokifanya ni cha kuigwa..Nawashukuru sana sana
 
Mbarikiwe kwa upendo wenu. Tujenge hii tabia kwani rafiki wa kweli ni wakati wa shida. Pole PJ tuko pamoja nawe.
 
Mbarikiwe kwa upendo wenu. Tujenge hii tabia kwani rafiki wa kweli ni wakati wa shida. Pole PJ tuko pamoja nawe.
Mama Joe, ndugu PJ ni mtu muhimu sana na naweza kusema kuwa ni mhasisi wa kujenga ushirikiano katika matukio kama haya. Nakumbuka sana alivyohudhuria msiba wa Babu yangu kule Arusha pamoja na mvua kubnyesha na kuwa mbali lakini PJ bado alionyesha upendo wa hali ya juu. Nina uhakika atapata sapoti ya kutosaha sana katika hili kwa maombi na kwa wale watakaoenda moja kwa moja kwenye msiba huu. Pole sana PJ
 
Ni kweli Sipo nakumbuka alikuwa anatupa taarifa zote kwenye msiba ule. Hujambo lakini mwanangu. PJ ni line gani niku pm walau vocha umtumie. Nipo mikoani kwa muda.
 
Ni kweli Sipo nakumbuka alikuwa anatupa taarifa zote kwenye msiba ule. Hujambo lakini mwanangu. PJ ni line gani niku pm walau vocha umtumie. Nipo mikoani kwa muda.
Sijambo Mama, Shikamoo, ngoja nikupm namba ya PJ Mama
 
Wakuu, tunashukuru sana kwa kutuwakilisha.

Pakajimmy pole sana, Mungu akupe amani na kukuzidishia nguvu katika kipindi hiki kigumu cha msiba.

Pole sana Mkuu.

 
Mimi, Chrispini, BHT, Geof, Ziondaughter na Kaizer tumewawakilisha wana JF wote kwenye msiba wa baba yake Pakajimmy maeneo ya kitunda na safari ilianza mida ya saa 8 kulekea Mbeya ambako mzee wetu atapumzishwa. Na tulivyowasiliana mida ya saa 11 walikuwa wamepita maeneo ya morogoro mjini.

Pakajimmy kafarijika na anawashukuru wana JF wote kwa support mliompa kipindi hichi kigumu.
Tunawashukuru wanaJF wenzetu kwa uwakilishi huo, hii inaonyesha ni jinsi gani tupo pamoja katika shida na raha, all in all pole sana PJ kwa kumpoteza Baba, RIP Baba PJ.
 
jamani mbarikiwe sana kwa uwakilishi wenu mungu awabariki pole kwa familia nzima ya pakajimmy
 
Mimi, Chrispini, BHT, Geof, Ziondaughter na Kaizer tumewawakilisha wana JF wote kwenye msiba wa baba yake Pakajimmy maeneo ya kitunda na safari ilianza mida ya saa 8 kulekea Mbeya ambako mzee wetu atapumzishwa. Na tulivyowasiliana mida ya saa 11 walikuwa wamepita maeneo ya morogoro mjini.

Pakajimmy kafarijika na anawashukuru wana JF wote kwa support mliompa kipindi hichi kigumu.

Tunashukuru sana kwa uwakilishi.... Mungu awazidishie moyo wa upendo
 
Pole sana pakajimmy kwa msiba.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Bwana libalikiwe...!!!
MUNGU Baba wa mbinguni atakufuta machozi na kukupa faraja yake ktk kipindi hiki kigumu kwako.


But also thanks to Nguli for the information...!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom