Mpaka 2015, CCM itakuwa imeshazikwa, hongera chadema
Dua la kuku halimpati mwewe. Hivi mnafikiri ni rahisi ki hivyo. Oteni ndoto za mchana wa saa nane tu!! CCM GARI KUBWA. Ndio maana tunasema na nyie mnajua kuwa CCM Ni No 1.
Thanks and Regards,
Kada wa CCM.