TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
CCM inafanya kazi...haihitaji kujitangaza! Tukisema ni kutangaza kila sehemu CCM inaposhinda server ya JF itajam!!
Yani Vijikata, Vijiji, Mitaa na Majimbo yasiyozidi hata 5000 ndiyo yatajaza Server ya JF. Kweli wewe ndio maana NAPE alikubatiza REJAO!