Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,291
- 33,894
Tarehe 18/12/2011 kulifanyika uchaguzi kwenye kijiji cha magulilwa ambapo CHADEMA tulishinda na bango lake nikalileta humu. Leo tena kuna uchaguzi umefanyika kwenye vijiji vinne vya Halmashauri ya Kilolo, vijiji hivyo ni Udekwa, Ukumbi, Utengule na Kiwalamo. CHADEMA imeshinda vijiji vitatu (3) vya Ukwega, Ukumbi na Utengule na CCM imeambulia kijiji kimoja cha Kiwalamo.
Nawapongeza makamanda wote waliokuwa Frontline!!
Nawasilisha!!
Nawapongeza makamanda wote waliokuwa Frontline!!
Nawasilisha!!