Mosachaoghoko
Senior Member
- Apr 19, 2011
- 137
- 10
Wananchi Tumevumilia sana,Tumesubiri sana tumeonewa sana ,tumeteseka sana, Yote haya tumefanyiwa na serikali ambayo tunaiweka madarakani kwa matarajio kuwa itatusasidia ila hakuna msaada wowote tuupatao toka kwa viongozi wa serikali,Bunge na Mahakama sasa kuna kila aina ya sababu kufanya maamuzi magumu sisi wenye nchi wewe katika muono wako ni maamuzi gani magumu tunayotakiwa kuyafanya