Tumetoka kutalii na kufanya shoping, mlichotutuma tumewaletea.

Lokissa

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
7,446
2,490
DSC_0484.JPG
DSC_0520.JPG
DSC_0489.JPG
 
waacbheni viajana wa watu wakae mbona mkuu wa kaya kila siku yupo huko na hakuna anachopkuja nacho zaidi ya kubembea na kupigas picha ambazo hawa vijana walibanwa na ratiba wakashindwa kupiga.
 
Tusiwalaumu sio makosa yao, wamejitahidi hata kule kupeperusha bendera yetu ni heshima kubwa. Kilichobaki ni kutafakari na kutafuta kosa liko wapi litafutiwe ufumbuzi ili ifikapo 2016 tuweze kujipanga vizuri tukijifunza kutokana na makosa yetu ya awali.
 
nakumbuka msemo wa mzee ruksa, tutabaki kuwa kichwa cha mwendawazimu
ile kauli ya HANDO wa clouds alipowaombea wakienda huko washindwe imetimia
nadhani serikali iangalie upya suala la wachezaji na wapewe vipaumbele
na wachaguliwe wanaostahili kulingana na fani zao.
 
washukuru mungu nchi yetu ni ya utawala wa haki na sheria lakin ilibi kama vp wanaporudi wanafkia kambi ya ya jeshi kuwafunza uzalendo na mapenzi kwa nchi yao
 
Tusiwalaumu sio makosa yao, wamejitahidi hata kule kupeperusha bendera yetu ni heshima kubwa. Kilichobaki ni kutafakari na kutafuta kosa liko wapi litafutiwe ufumbuzi ili ifikapo 2016 tuweze kujipanga vizuri tukijifunza kutokana na makosa yetu ya awali.

Makosa yanajulikana ila hakuna wa kuyatatuwa, au viongozi wetu hawajalipa kipaumbele. Michezo kama ya riadha, unatakiwa ukimbie umbali flani kwa muda flani. Wachezaji wetu wanapelekwa tu ilimradi washiriki hata kama hawajafikia kukimbia muda unaotakiwa kwa mshindi wa kwanza. Mashindayo ya Olympic siyo ya kubahatisha kama mashindano ya Umisi. Tatizo hapa kwetu kila kitu kinageuzwa kuwa mradi wa kuingiza pesa, sijui ni lini pesa za wavuja jasha zitatumika kwa umakini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom