Yaani bure kabisa, unaajiri watu nchi nzima na wanasubiri tu kusimamia uchaguzi, na uchaguzi hufanyika once in 5 yrs meaning baada ya uchaguzi hawa watu wote watakaa na kupokea mshahara bure hadi uchaguzi ujao.,,., umaskini wa mawazo ndio umaskini mbaya mno kama wa Lubuva.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.