Nikushangaze! Hata hao polisi upelelezi na TISS ukiwawekea dau la milioni 2 kwa kichwa wakuletee watu wanaouza viungo vya albino, nakuhakikishia utaletewa watuhumiwa, exhibits na ushahidi wa kutosha kuwatia hatiani. Ni njaa tu zinatesa watu. Hii mbinu ya kutangaza dau mbona hata nchi za wazungu (huko tunakoiga mambo mengi) huwa zinatumia kukamatia wahalifu sugu au korofi.