Tumepanda Airbus 380 kwa ngazi!

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
Wakuu nilikuwa Ujerumani ikabidi tpandishwe Airbus 380, ile ndege ya double decker kwa ngazi. Nadhani kulikuwa nahitilafu kwenye zile bridges za kupandia

Airbus2.jpg

Airbus1.jpg Airbus3.jpg
 
Wakuu nilikuwa Ujerumani ikabidi tpandishwe Airbus 380, ile ndege ya double decker kwa ngazi. Nadhani kulikuwa nahitilafu kwenye zile bridges za kupandia

View attachment 69442

View attachment 69443View attachment 69441
Inategemea mlikuwa uwanja gani. Kuna baadhi ya viwanja si vikubwa hivyo hata gates za kuingilia ndani ya ndege huwa ni chache. Hiyo husababisha baadhi ya ndege kupandisha abiria katika mtindo huo kwenye picha. Bado kuna sababu nyingine nyingi kama vile delay ya flight husika, nk. Hata hivyo ni kitu cha kawaida kabisa hicho.
 
Mkuu hujawahi kusafiri nn? Kuna ajabu yoyote yeye kuwa mmoja wa abiria katika hiyo ndege?

Mwacheni mtoa mada athibitishe. Mbona mimi juzi juzi nimepanda Jumbo Concorde pale France, mnabisha niwathibitishie
 
Sijajua imekuaje, but huo utaratibu mbona unatumika sana kwenye busy airports around the world toka nimeanza kusafiri sijawahi kupanda ndege kwa bridges kwenye airport za connections always ni kwa ngazi za vigari... Mara nyingi unapoanzia safari ndo unapita kwenye bridges as zinaunganishwa kutoka kwenye check in... But connections ni mwendo wa ngazi tu baada ya kupandishwa shutle as ndege unaifata mbali
 
Back
Top Bottom