meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Yafuatayo ni maoni ya Mh Mbunge Dr.HAMISI KIGWANGALLA kama ilivyokutwa kwenye fb status yake tarehe 3 june 2011.
"Ni rushwa au upofu?kamati ya kupitisha bajeti bila kujadili kwa kina ndiyo kazi tuliyotumwa kweli?wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya huduma za jamii jana tumekubali kuburuzwa kupitisha bajeti ya afya bila ridhaa ya baadhi yetu.
Mwenyekiti sijui alinunuliwa au ilikuaje? Kisha amegomea tusijadili hoja ya hatma ya madaktari bingwa waliohamishwa kihuni.
Kweli tutafika? Cha ajabu naye ni daktari mwenzetu.
My take:mh mbunge ajaribu kuangalia mgawanyo wa budget na hatimaye ataelewa kama kuna mianya ya rushwa.
Nawasilisha.
"Ni rushwa au upofu?kamati ya kupitisha bajeti bila kujadili kwa kina ndiyo kazi tuliyotumwa kweli?wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya huduma za jamii jana tumekubali kuburuzwa kupitisha bajeti ya afya bila ridhaa ya baadhi yetu.
Mwenyekiti sijui alinunuliwa au ilikuaje? Kisha amegomea tusijadili hoja ya hatma ya madaktari bingwa waliohamishwa kihuni.
Kweli tutafika? Cha ajabu naye ni daktari mwenzetu.
My take:mh mbunge ajaribu kuangalia mgawanyo wa budget na hatimaye ataelewa kama kuna mianya ya rushwa.
Nawasilisha.