Tumeichagua CCM Wenyewe Sasa Tunalalamika Nini Kuhusu Umeme!?!?!

Gosbertgoodluck

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
2,855
401
Ndugu zangu wana JF,

Hivi wananchi wanaolalamika kuhusu kupanda kwa bei ya umeme, walitarajia nini wakati wenyewe ndiyo walioichagua ccm?? Mtazamo wangu ni kuwa kama wamemchagua jk na ccm yake, basi watulie wanyolewe vizuri.

Kamwe wasilalamike maana wao ndiyo walioiweka serikali madarakani. Kupanda bei kwa huduma muhimu kutaendelea mtindo mmoja mpaka kieleweke.

Hivi sasa sumatra wapo kwenye mchakato wa kupitisha nauli mpya za usafiri wa mabasi. Ewura wana maombi lukuki ya kupandisha bei za huduma ya maji kutoka miji mbalimbali nchini.

Kwa kuwa wenyewe ndiyo tumeichagua CCM basi siyo busara kuleta usumbufu. Tutulie tunyolewe hata kama wembe unaotumila ni butu. Maumivu tutakayopata yatatusaidia kufanya uamuzi wa busara ifikapo 2015.
 
Ndugu zangu wana JF,
Hivi wananchi wanaolalamika kuhusu kupanda kwa bei ya umeme, walitarajia nini wakati wenyewe ndiyo walioichagua ccm?? Mtazamo wangu ni kuwa kama wamemchagua jk na ccm yake, basi watulie wanyolewe vizuri. Kamwe wasilalamike maana wao ndiyo walioiweka serikali madarakani. Kupanda bei kwa huduma muhimu kutaendelea mtindo mmoja mpaka kieleweke. Hivi sasa sumatra wapo kwenye mchakato wa kupitisha nauli mpya za usafiri wa mabasi. Ewura wana maombi lukuki ya kupandisha bei za huduma ya maji kutoka miji mbalimbali nchini.

Kwa kuwa wenyewe ndiyo tumeichagua ccm basi siyo busara kuleta usumbufu. Tutulie tunyolewe hata kama wembe unaotumila ni butu. Maumivu tutakayopata yatatusaidia kufanya uamuzi wa busara ifikapo 2015.

Hawakuichagua bali waliibiwa kura zao. Wewe ungeshauri kuwa safari nyingine wasikubali waibiwe kura zao
 
Natamani sana haya matatizo yazidi labda wadanganyika ndio tutapata akili ya kutambua madhara ya kuikumbatia ccm.Mi naamini huu ni mwanzo tu,mengi yanakuja.ARI ZAIDI,KASI ZAIDI na NGUVU ZAIDI!
 
Ukichagua hovyo huna haki ya kulalamika kwani nafasi mliyopewa mkabakia na lugha ya oh huyu ndo kanilea, tumezaliwa humu! basi, sukari/chumvi, umeme, mkaa, nauli, nk zikipanda bei, ndo hiyo inakulea uzoee matatizo
 
Ndugu zangu wana JF,
Hivi wananchi wanaolalamika kuhusu kupanda kwa bei ya umeme, walitarajia nini wakati wenyewe ndiyo walioichagua ccm?? Mtazamo wangu ni kuwa kama wamemchagua jk na ccm yake, basi watulie wanyolewe vizuri. Kamwe wasilalamike maana wao ndiyo walioiweka serikali madarakani. Kupanda bei kwa huduma muhimu kutaendelea mtindo mmoja mpaka kieleweke. Hivi sasa sumatra wapo kwenye mchakato wa kupitisha nauli mpya za usafiri wa mabasi. Ewura wana maombi lukuki ya kupandisha bei za huduma ya maji kutoka miji mbalimbali nchini.

Kwa kuwa wenyewe ndiyo tumeichagua ccm basi siyo busara kuleta usumbufu. Tutulie tunyolewe hata kama wembe unaotumila ni butu. Maumivu tutakayopata yatatusaidia kufanya uamuzi wa busara ifikapo 2015.

Uliwachagua wewe na wakurupukaji wenzio.
 
Ndugu zangu wana JF,
Hivi wananchi wanaolalamika kuhusu kupanda kwa bei ya umeme, walitarajia nini wakati wenyewe ndiyo walioichagua ccm?? Mtazamo wangu ni kuwa kama wamemchagua jk na ccm yake, basi watulie wanyolewe vizuri. Kamwe wasilalamike maana wao ndiyo walioiweka serikali madarakani. Kupanda bei kwa huduma muhimu kutaendelea mtindo mmoja mpaka kieleweke. Hivi sasa sumatra wapo kwenye mchakato wa kupitisha nauli mpya za usafiri wa mabasi. Ewura wana maombi lukuki ya kupandisha bei za huduma ya maji kutoka miji mbalimbali nchini.

Kwa kuwa wenyewe ndiyo tumeichagua ccm basi siyo busara kuleta usumbufu. Tutulie tunyolewe hata kama wembe unaotumila ni butu. Maumivu tutakayopata yatatusaidia kufanya uamuzi wa busara ifikapo 2015.

Kumbuka kura waliiba, ila 2015 kamwe kura kuibiwa ni ndoto, maana as u said maisha yatapanda ile mabaya, mafisadi wanataka 185bil mapema
nasema wananchi wataamua wenyewe kwa mikono yao kwa hali itakavyokuwa tight, wait & see mwaka mmoja tu, maandamano kila kona, wait
 
heee kwani CCM inazalisha umeme? au CCM inahusika vipi na kadhia ya umeme? kumbe kila kero ni CCM? tubadilike tuwe wakweli tuilaumu CCM kwa makosa yake na si kila kero ni CCM, tuache ushabiki wa kitoto.....tujadili hoja, tupo huru kuwa wanachama wa chama tukipendacho tena kwa sababu mbali mbali.Nchi inapo pata matatizo tuyajadili na kuyatafutia ufumbuzi...tusielekeze malalamiko pasipotakiwa.

Ndugu ebu fikiria mtoto wako anaumwa unyafuzi badala yake wewe unaamini karogwa utapata tiba sahihi? mtoto atakutoka huyo.
Tuache hizooooooooo
 
Ndugu zangu wana JF,
Hivi wananchi wanaolalamika kuhusu kupanda kwa bei ya umeme, walitarajia nini wakati wenyewe ndiyo walioichagua ccm?? Mtazamo wangu ni kuwa kama wamemchagua jk na ccm yake, basi watulie wanyolewe vizuri. Kamwe wasilalamike maana wao ndiyo walioiweka serikali madarakani. Kupanda bei kwa huduma muhimu kutaendelea mtindo mmoja mpaka kieleweke. Hivi sasa sumatra wapo kwenye mchakato wa kupitisha nauli mpya za usafiri wa mabasi. Ewura wana maombi lukuki ya kupandisha bei za huduma ya maji kutoka miji mbalimbali nchini.

Kwa kuwa wenyewe ndiyo tumeichagua ccm basi siyo busara kuleta usumbufu. Tutulie tunyolewe hata kama wembe unaotumila ni butu. Maumivu tutakayopata yatatusaidia kufanya uamuzi wa busara ifikapo 2015.

wengine wanafanya biashara ya kukaanga mihogo huku pembeni kibendera cha ccm kinapepea.

umasikini huu wa mawazo utatuangamiza.

wapandishe tu: umeme. kodi za nyumba. maji. misosi. nyaya moja@Tshs.200 all the shyt stuff.
 
Mimi naomba mchana na usiku matatizo yaongezeke nchi hii kwani pamoja na kuwa JK yupo madarakani kwa wizi wa kura, lakini wapo watu wengi bado wanampenda nakuikumbatia CCM, sasa ifike mahali asiwepo hata mtu mmoja mwenye akili timamu ambaye hanufaikai na ufisadi wa CCM amabye ataipenda CCM.Nasema hivi kwa vile wadanganyika wengi bado hawajafunguka akili na kuona kuwa matatizo ya nchi yetu yanatokana na UONGOZI MBOVU, kwani mwenyezi Mungu alituandalia watanzania tuwe na maisha bora saana kwa kutuumbia rasilimali lukuki katika ardhi yetu lakini wanaonufaika na utajiri huu ni wageni wakishirikiana na genge la JK na washikaji zake.ALAANIWE JK, ILAANIWE CCM, ILAANIWE TISS, ILAANIWE NEC.
 
heee kwani CCM inazalisha umeme? au CCM inahusika vipi na kadhia ya umeme? kumbe kila kero ni CCM? tubadilike tuwe wakweli tuilaumu CCM kwa makosa yake na si kila kero ni CCM, tuache ushabiki wa kitoto.....tujadili hoja, tupo huru kuwa wanachama wa chama tukipendacho tena kwa sababu mbali mbali.Nchi inapo pata matatizo tuyajadili na kuyatafutia ufumbuzi...tusielekeze malalamiko pasipotakiwa.

Ndugu ebu fikiria mtoto wako anaumwa unyafuzi badala yake wewe unaamini karogwa utapata tiba sahihi? mtoto atakutoka huyo.
Tuache hizooooooooo

Shiiiiiiiiiiiiii!
 
heee kwani CCM inazalisha umeme? au CCM inahusika vipi na kadhia ya umeme? kumbe kila kero ni CCM? tubadilike tuwe wakweli tuilaumu CCM kwa makosa yake na si kila kero ni CCM, tuache ushabiki wa kitoto.....tujadili hoja, tupo huru kuwa wanachama wa chama tukipendacho tena kwa sababu mbali mbali.Nchi inapo pata matatizo tuyajadili na kuyatafutia ufumbuzi...tusielekeze malalamiko pasipotakiwa.

Ndugu ebu fikiria mtoto wako anaumwa unyafuzi badala yake wewe unaamini karogwa utapata tiba sahihi? mtoto atakutoka huyo.
Tuache hizooooooooo

Hivi wewe hujui kuwa CCM ndiyo chama tawala? Mambo yakiwa mazuri wanastahili pongezi, lakini mambo yanapoharibika kama ilivyo sasa wao ndiyo wanastahili lawama, tatizo la umeme lina zaidi ya miaka 20 sasa, hivyo kama watawala wameshindwa kupata ufumbuzi wake basi HAWAFAI.
 
Natamani sana haya matatizo yazidi labda wadanganyika ndio tutapata akili ya kutambua madhara ya kuikumbatia ccm.Mi naamini huu ni mwanzo tu,mengi yanakuja.ARI ZAIDI,KASI ZAIDI na NGUVU ZAIDI!

Wadanganyika ni wadanganyika tu no matter what watapigika ile mbaya miaka 4 na nusu halafu ile nusu ingine kable ya kampeni wanapunguziwa vitu bei kidogo then wanasema eeewaaaaa hii ndio serikali inayojali watu wanaichagua tena. We have looooooong way to go. Wasilalamike walipe tu hizi bei zilizo pand a hawawezi wakae giza they might learn something.
 
Poleni sana watanzania na waafrika kwa ujumla!
Afrika itaendelea pale kizazi kilichosomeshwa na mkoloni kikiisha au akija kiongozi aliyeingia msituni kupambana na wakoloni kama ilivyo ghana!
Vinginevyo haya yataendelea!
 
Wananchi walichagua CCM. Uchaguzi si urais peke yake. Hao wananchi wangewapa vyama vya upinzani wabunge wa kutosha kuikosesha CCM majority katika bunge ningewaalewa. Wakulaumiwa si waliopiga kura peke yao bali na ile asilimia 60 iliyokaa nyumbani na kususia. Haya ndiyo matokeo yake. Mandate ya kutawala wamepewa CCM. Waacheni watawale.

Amandla.......
 
Naona wengi mnabangaiza kuhusu wizi wa kura ,jamani kura hazikuibiwa hata moja uchaguzi ulikuwa shwari na wa kufana kabisa ila matatizo ya hapa na pale yalikuwepo.
Wizi wa kura waliwacha zamani ,CCM wana Tume wana vyombo vya usala kwa ufupi vyombo ya dola vyote ni vyao ,sasa kuna umuhimu gani wa kuiba kura ? Hivi mnasahau kuwa Tume ikimtangaza Raisi ndio machezo yote yamekwisha ,hawa ni makamisaa wanaoamua baada ya mchezo kumalizika.
 
Acha tu bei zipande.Waliokaa nyumbani walioipigia kura ccm sasa ndio muda wao wa kulia.Nani hajui kuwa wafanyabiashara ndio wanaochangia kampeni za ccm ili baadae warudishe pesa yao kwa njia ya kupandisha bei.ZITAENDELEA KUPANDA SANA HII NI INTRODUCTION TU.KWENYE KAMPENI WENGI WAO WALIKUWA WANAKULA BUKU BUKU TU.SASA ZITAWATOKEA PUANI.RANGI IWAOKOE SASA.WANAOTETEA KUWA CCM ISILAUMIWE NI VCCM MASLAHI.VINAKOMBELEZA MABAKI.ACHA TU ZIPANDE HATA CHUMVI IPANDE.WALE JEURI YAO YA KIJANI.
 
Kupanga ni kuchagua kwa namna mmoja au nyingine serikali ya CCM inahusika mmoja kwa mmoja na matatizo ya Tanesco .Inateua Bodi ya wakurugenzi,inateua CEO,Tanesco ina wajibika kwa Serikali ya CCM.Tanesco ni shirika la umma hisa zake zinamilikiwa na serikali.Tunajua wazi mambo ya umeme serikali ya CCM imevurunda na kashfa sisizoisha Richmond,IPP,na Kiwira coal mine,Kuichagua au kuiweka serikali inayoongozwa na CCM kufikiri italeta maaajabu ni ngumu.
 
heee kwani CCM inazalisha umeme? au CCM inahusika vipi na kadhia ya umeme? kumbe kila kero ni CCM? tubadilike tuwe wakweli tuilaumu CCM kwa makosa yake na si kila kero ni CCM, tuache ushabiki wa kitoto.....tujadili hoja, tupo huru kuwa wanachama wa chama tukipendacho tena kwa sababu mbali mbali.Nchi inapo pata matatizo tuyajadili na kuyatafutia ufumbuzi...tusielekeze malalamiko pasipotakiwa.

Ndugu ebu fikiria mtoto wako anaumwa unyafuzi badala yake wewe unaamini karogwa utapata tiba sahihi? mtoto atakutoka huyo.
Tuache hizooooooooo

Hivi wewe!!!!.... TANESCO siyo shirika la umma???? Mashirika ya umma humu nchini yanasimamiwa na kuratibiwa na nani??? How comes you are so dumb!!!!
 
Back
Top Bottom