Imekua ni tabia ya wabunge wengi siku hizi kutoa mipira na Jezi kwa vijana wa majimbo yao na kuanzisha ligi zenye majina yao kwa lengo la kujitangaza. Kwa bahati mbaya sana mipira hii na jezi ni low low low quality from China. Waheshimiwa, tunaomba mtatue kero zetu na hayo mengine tutafanya wenyewe. Ni viwanja vipi mlivyojenga mpaka mtuletee jezi na mipira? Vile mlivyotaifisha tu vimewashinda siku hizi tunachungia mbuzi.
Nashauri huu utaratibu ukome kwani hiki ni kizazi kingine. Tujengeeni mabweni, madarasa, majosho nk.
Nashauri huu utaratibu ukome kwani hiki ni kizazi kingine. Tujengeeni mabweni, madarasa, majosho nk.