Tumechagua Makamu wa rais Mgonjwa

Wewe na hizo chuki zako zinaendelea kuwa kioo cha aina ya chama chako....Kwa taarifa yako hadi sasa hakuna mbunge anayetibiwa na bunge kwani hawajamalisa process zake. Pili Zitto sio kama viongozi wako wengine wanaokimbilia kuwabebesha walipa kodi gharama za maisha yao na hajawahi kufanya hilo isipokuwa pale tu ambako alipokuwa na bima ya afya kupitia bunge.

Lakini cha zaidi hata gharama anazotumia kila siku kugharamia chama sikumbuki wakati alipowahi kuomba kuerejeshewa na chama tofauti na Mwenyekiti wako ambaye hata yale mamilioni anayopewa na hao mnaowaita mafisadi hudai ni zake na kulazimu fedha za chama kutumika kumlipa yeye.......Unadhani Mzee Sabodo anapolazimisha misaada yake iwe wazi katika vyombo vya habari sababu ni nini? Ama unadhani alikurupuka tu kutoa fedha zake bila ya kufanya background check ya watu anaodeal nao. Subirini pale atakapoanza kutaka mrejesho wa matumizi yake ndio mtakapotafuta pa kukimbilia....hatashindwa kutumia mamilioni mengine kutoa press statement magazeti yote ya Afrika Mashariki na hapo ndipo mtakapojua mbivu na mbichi.......

Mrejesho kauona mzuri idadi ya wabunge imeongezeka, matawi mengi yamefunguliwa,bendera zinapepea kila kona ya nchi, kwa ujumla mtandao wa chadema umepanuka ndiyo maana mzee Sabodo kaongeza dau na kaahidi kutoa zaidi. Wacheni kuwa vipofu kwa fedha ya mafisadi, ama kweli rushwa hupofusha , kwa msomi kama wewe kujifanya huoni maendeleo ya Chadema ni aibu.
 
Nashangaa sana tabia ya mimtu fulani mijinga humu ambayo kazi yao ni kuamka na kubuni mambo. Hivi kama akiwa Makamu wa Rais ndio hana haki ya kufanya ziara zake, na nani kakwambia kaenda huko? Tena we **** unadhani kila anayeenda nje anakimbilia kutibiwa, unajua mtu ukiwa mgonjwa mgonjwa unadhani kila mtu anaumwa kama wewe. Nakushauri Milembe ipo karibu katibu maradhi ya ukichaa wako na sio kujigfanya unajua kusaka nyeti na kuja kuporomosha ujinga wako hapa. Hakuna binadamu asiyeugua akama ambavyo hakuna asiyekula na kunya. Nakwambie tena nenda zako Milembee maana unachelewa sana unaweza ambukiza kichaa chakowatu humu
 
Suala la afya nafikiri hakuna mwenye guarantee nalo. Tungeweza kuchagua mwingine yeyote lakini akaugua ndani ya wiki moja na kufariki. Hakuna anayejua kitakachojiri dakika hata moja mbele. Unajua wewe utakuwa mgonjwa lini na utakufa lini? Kama hujui, basi tumwachie Mungu kwa kuwa wote siye ni wa kuugua.

Hapo umesema kweli lakini nadhani tatizo jingine ni kwa nini hawa viongozi wetu wanakwenda kutibiwa nje ya nchi? Hivi vitu wanavyoita hospital za serikali ni kwa ajili ya mifugo au?

Nadhani umefika wakati tulalamike viongozi wetu wanapokwenda kutibiwa nje ya nchi kwa magonjwa ambayo yanatibiwa kwenye hospitali zetu, hata yale ambayo hayatibiwi lazima watupe ratiba ni lini wataacha kuchezea rasilimali zetu kwa anasa hizi
 
wewe sasa unaingilia kazi ya Mungu.
Kuumwa kila mtu anaumwa hata wewe sasa unaumwa jiangalie au kapime kama huna hata magonjwa mawili au matatu
 
Hivi mathalan akifa uchaguzi unarudiwa ama???????
namuombea kupona pia, kwa majaaliwa yake Bwana Mungu maana kuugua ni kwa wote kama ilivyo kufa pia. hakuna atakaebaki hapa
 
Makamu wetu wa rais ameondoka kwenda Ulaya kwenda kufanyiwa check up ikiwa ni kama mwezi tu tokea apate madaraka hayo.

Inaelekea tumechagua makamu mgonjwa na sasa inakula kwetu.

Inasemekana ameelekea Uingereza.

Habari ndio hiyo tujadili.

zito ulijua yanayomkuta..si alikuwa na afya Mungu awape uwezo waponena kurudi mapema kufanya majukumu yao..mwombe Mungu radhi...Muhimbili aina mteja maalum
 
nashangaa sana tabia ya mimtu fulani mijinga humu ambayo kazi yao ni kuamka na kubuni mambo. Hivi kama akiwa makamu wa rais ndio hana haki ya kufanya ziara zake, na nani kakwambia kaenda huko? Tena we **** unadhani kila anayeenda nje anakimbilia kutibiwa, unajua mtu ukiwa mgonjwa mgonjwa unadhani kila mtu anaumwa kama wewe. Nakushauri milembe ipo karibu katibu maradhi ya ukichaa wako na sio kujigfanya unajua kusaka nyeti na kuja kuporomosha ujinga wako hapa. Hakuna binadamu asiyeugua akama ambavyo hakuna asiyekula na kunya. Nakwambie tena nenda zako milembee maana unachelewa sana unaweza ambukiza kichaa chakowatu humu

pepo shindwa

pepo toka

pepo hama


pepo tokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwa jina la yesuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 


hii ngoma right-off kabisa, no ubishi.bahati yake ana access na kodi za wananchi la sivyo ingekua ngoma nitolee!!
 
Hee kwani pale tumbi hawawezi kumtibu? Sasa hii inaleta picha gani, tunashindwa kuboresha hospitali za ndani tunakimbilia huko nje...! Halafu akija ataanza kuwafokea madiwani/ wabunge kwa kushindwa kuleta maendeleo kumbe wao wenyewe ndio vyanzo...!
 
wataalamu wetu wanadhalilishwa, kuna usiri gani wasitumike kutibia Marasi wetu, kama Tanzania ikiwekewa vikwazo vya kutotoka nje na Mku wetu akanyimwa haki ya kusafiri je watakifa au watapona , basi vyuo vya madaktari vifutwe havina maana, wangewaacha watestiwe kama wanaweza tibu sio kukimbilia Nje, wiki tatu kama sio mbili eti hata HawanGURUME NAYE ANATAKA ATIBIWE uLAYA uLAYA uLAY KUNANI? WA HAPA HAPA TUFANYAJE, ? au tubaki na Mharobaini na arovela, na madawa ya Tianse
 
mi ndio maana nishajiamulia kupika maaalovera yangu kila siku atakaesema dawa za kienyeji sawa tu kwa syle hii mmmhh
 
Ni kwelii kuugua hakuepukiki ila nikumuomba Mungu awaepushie viongozi wetu na magonjwa.
Kikubwa ni serikali kuboresha matibabu katika hospitali zetu zilizopo nchini ili wakiugua watibiwe hapa hapa.

Hapo kwenye RED sijakuelewa mkuu, unamaanisha kwamba wananchi ndio tupate magonjwa? wacha mzaha.
 
Wakati umefika sasa tuwekeze katika Afya, kama tulivyofanya kwenye michezo.
Madaktari bingwa wapo kwa nini wasiboroshewe kipato ili wabaki nchini kuwaokoa watanzania kwa gharama nafuu kulikoni kupelekwa ulaya ambapo gharama zinakuwa ghali sana. Hizo fedha zitumikazo kulipia matitabu zitalinganishwa na mishahara ya wataalamu wa afya waliobobea????? Kila kitu chawezekan yahitaji kujipanga tu.
Nawasilisha.:target:
 
Ugonjwa ni kitu cha kawaida. Hata mimi na wewe ni wagonjwa lakini hekima na busara haziugui. Hata Dr. Slaa pale ni mgonjwa wa KISUKARI. Ndio maana katika kuhangaika kutafuta tiba akaangukia kwenye tiba za Miti shamba za "GREEN WORLD". SI NDIO MAANA AKAANGUKIA KWA KIMWANA MUHAYA YULE? AKA MUSHUMBUSI.

Kwa hiyo katika maradhi HAKUNA wa kusalimika. kikubwa ni kuombeana Dua tu.
 
Makamu wetu wa rais ameondoka kwenda Ulaya kwenda kufanyiwa check up ikiwa ni kama mwezi tu tokea apate madaraka hayo.

Inaelekea tumechagua makamu mgonjwa na sasa inakula kwetu.

Inasemekana ameelekea Uingereza.

Habari ndio hiyo tujadili.

ndo hivyo! Mi nimemwona muda mrefu mara anakohoa, anaongea mfululizo bila kupumzika, nkajua huyu mgonjwa tu!
 
tunamwombea apone haraka ili amalizie mchakato wake ile naniii ..ile nini vile ?
 
Makamu wetu wa rais ameondoka kwenda Ulaya kwenda kufanyiwa check up ikiwa ni kama mwezi tu tokea apate madaraka hayo.

Inaelekea tumechagua makamu mgonjwa na sasa inakula kwetu.

Inasemekana ameelekea Uingereza.

Habari ndio hiyo tujadili.

Hiyo sentensi TATA;
Nilivokuelewa mimi ni kuwa kabla ya ku-OPEN nilijua :A S-rap:RAIS ndiye mgonjwa
 
Kufanyiwa check up na kuwa mgonjwa ni vitu viwili tofauti. Correct me if I am wrong?
 
Back
Top Bottom