Tumechagua Makamu wa rais Mgonjwa

nimeanza kusikia alikua anabadilisha damu tokea 1993. Na mpaka sasa ana kula bata.
 
Mbona mapema sana kuanza kutumia pesa ya walipa kodi kwa matibabu, bajeti ya kuanza kumtibu na msafara wake nimechoka tayari
 
Nani alikudanganya, nenda ofisi ya katibu wa bunge washapelekewa invoice!

Wewe na hizo chuki zako zinaendelea kuwa kioo cha aina ya chama chako....Kwa taarifa yako hadi sasa hakuna mbunge anayetibiwa na bunge kwani hawajamalisa process zake. Pili Zitto sio kama viongozi wako wengine wanaokimbilia kuwabebesha walipa kodi gharama za maisha yao na hajawahi kufanya hilo isipokuwa pale tu ambako alipokuwa na bima ya afya kupitia bunge.

Lakini cha zaidi hata gharama anazotumia kila siku kugharamia chama sikumbuki wakati alipowahi kuomba kuerejeshewa na chama tofauti na Mwenyekiti wako ambaye hata yale mamilioni anayopewa na hao mnaowaita mafisadi hudai ni zake na kulazimu fedha za chama kutumika kumlipa yeye.......Unadhani Mzee Sabodo anapolazimisha misaada yake iwe wazi katika vyombo vya habari sababu ni nini? Ama unadhani alikurupuka tu kutoa fedha zake bila ya kufanya background check ya watu anaodeal nao. Subirini pale atakapoanza kutaka mrejesho wa matumizi yake ndio mtakapotafuta pa kukimbilia....hatashindwa kutumia mamilioni mengine kutoa press statement magazeti yote ya Afrika Mashariki na hapo ndipo mtakapojua mbivu na mbichi.......
 
Makamu wetu wa rais ameondoka kwenda Ulaya kwenda kufanyiwa check up ikiwa ni kama mwezi tu tokea apate madaraka hayo.

Inaelekea tumechagua makamu mgonjwa na sasa inakula kwetu.

Inasemekana ameelekea Uingereza.

Habari ndio hiyo tujadili.

Hivi kufanyiwa check up mpaka kwenda ulaya? Ina maana maprofesa wote waliopo pale Muhimbili National Hospital ni choka mbaya na vichwani mwao hamna lo lote.

Yaani sisi miafrika ni hovyo kabisa kazi kutegemea huduma za nje tu hatuna hata akili ya kuweza kujitegemea kwa watalamu wetu.
Ndiyo maana katibu mkuu wa wizara fulani alienda ulaya kwenye hospitali fulani akasema hospitaliza wenzetu ni kama five star hotel.
Aibu kubwa sana hii.

No wonder tuna mpango wa kuagiza pikipiki za bajaji ili ziwe ndo ambulance.
Miafrika ndo tulivyo, ngozi nyeusi ni laana tupu,sorry to say that.
 
Ameenda kufanyiwa check up kwa mujibu wa mtoa mada, sasa hoja kwamba anaumwa inatoka wapi Great thinkers?
 
Acheni kumwonea banaa, mbona keshaanza kunenepa, pale mwanzo wa kampeni hata suti zilikuwa zinamning'inia mbaya nilikuwea nina mashaka kama angemaliza kampenisalama bila kuanguka anguka kama bosi wake, lakini saa hivi mambo yake shwari anaanza kung'aa.
 
Naukumbuka wimbo wa wagosi wa kaya, ulayaaa, ulayaaaa,
tupeni basi nasiye hizo hela tukatibiwe ulayaAA,
NI PESA ZA SISI WALIPA KODI WOTE.
 
hivi mnasahau huyu wenu alikuwa anaanguka mara ngapi..yaani eti alukuwa mwanajeshi halafu miguu inakosa stamina...hahaaaaa taaifa linaongozwa na viongozi wagonjwa
 
Ni kweli jamani hata ukicheki hiyo picha yake anaonekana dhufli hali
 
Wasije wakampeleka tu St Thomas Hospital London>>>>Dr Nyerere & Dr Abdulwakil and Dr Omar was there, after two weeks of his return we know waht happened.
 
Wivu tu. Nani hapendi afya njema? Nani hapendi kupata matibabu pale ambapo anaamini ni bora kwake? Tiba inaanza na saikolojia, yaani kuridhika na dakatri uliyemuona, hospitali uliyokwenda nk.
Wote, kama tungekuwa na hela tungependa kukodi ndege na kupata tiba ya uhakika. Mwisho wa cku, mambo yakiwa Magumu bongo utapewa rufaa ya kutbiwa ng'ambo. Kama huna uwezo inabidi utulie uzikwe. Sasa kama pesa ipo ya nini nisumbuke eti niijaribu afya yangu?
 
Wanakimbilia check-up Ulaya.. huku juzi bosi wake kapewa "Udakitari wa heshima" kwa huduma bora za Afya...
 
Makamu wetu wa rais ameondoka kwenda Ulaya kwenda kufanyiwa check up ikiwa ni kama mwezi tu tokea apate madaraka hayo.

Inaelekea tumechagua makamu mgonjwa na sasa inakula kwetu.

Inasemekana ameelekea Uingereza.

Habari ndio hiyo tujadili.
Ukweli usiopingika karibu theluthi mbili za viongozi wetu wa kisiasa ni waathirika wa vvu...........................ila hawapo tayari kukiri na kutuhamasisha kuwa wa wazi kwenye hilo............................
 
Kuna haja ya kuweka kifungu katika sheria ya uchaguzi kinachoitaka Tume kabla haijampitisha mtu yeyote kuwa mgombea mtu huyo kwanza afanyiwe uchunguzi wa kina kuhusu afya yake.
 
Back
Top Bottom