lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
wakuu heshima mbele.
nilitaka kupeleka hii kweny jukwaa la siasa lakini naileta hapa hili mtafakari uhalisia wa jinsi Mtanzania wa kawaida alivyo leo hii baada ya miongo zaidi ya 15 ya ujio wa hawa tuliowaita wakoloni.
Angalia jinsi mwananchi wa kawaida alivyo mvyonge
angalia jinsi Mabunge yetu yanavyoendeshwa
angalia uwezo wetu wa kufanya maamuzi yanayotuhusu ulivyo mdogo
angali hukumu zinazotolewa na Mahakama zetu.
...unaweza kuongeza mengine unayodhani yanaguza Waafrika na hasa Watanzania.
George Wilson is wheeled in a rickshaw by Ugandans between 1906 and 1911. Wilson first came to East Africa in 1889 and was employed by the IBEAC - the company charged with promoting British trade interests in Africa. Photo by Cambridge University and Royal Commonwealth Society Library.
more: Corporate imperialists come knocking*- Uganda@50*|monitor.co.ug
nilitaka kupeleka hii kweny jukwaa la siasa lakini naileta hapa hili mtafakari uhalisia wa jinsi Mtanzania wa kawaida alivyo leo hii baada ya miongo zaidi ya 15 ya ujio wa hawa tuliowaita wakoloni.
Angalia jinsi mwananchi wa kawaida alivyo mvyonge
angalia jinsi Mabunge yetu yanavyoendeshwa
angalia uwezo wetu wa kufanya maamuzi yanayotuhusu ulivyo mdogo
angali hukumu zinazotolewa na Mahakama zetu.
...unaweza kuongeza mengine unayodhani yanaguza Waafrika na hasa Watanzania.
George Wilson is wheeled in a rickshaw by Ugandans between 1906 and 1911. Wilson first came to East Africa in 1889 and was employed by the IBEAC - the company charged with promoting British trade interests in Africa. Photo by Cambridge University and Royal Commonwealth Society Library.
more: Corporate imperialists come knocking*- Uganda@50*|monitor.co.ug