Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,216
- 78,162
Mara ya mwisho tulikutana sehemu..na kila mtu akachukua namba ya mwenzako...na tokea hapo kila mtu akawa na hisia za kimapenzi na mwenzake....siku namtafuta akaniambia yuko na mtu niliumia sana..kumbe mwenzangu alikuwa nahisia zaidi juu yangu...na sasa tumeanza tena mawasiliano ingawa yuko mbali na ana mtu wake.....Hisia zetu zimekua kama zamani ama zaidi...
Najiuliza itakuaje na yeye ana mtu wake?....karibu ataolewa..ila anataka niwe naye japo siku moja ...msaada wenu naomba
Najiuliza itakuaje na yeye ana mtu wake?....karibu ataolewa..ila anataka niwe naye japo siku moja ...msaada wenu naomba