Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Siasa za Kenya zimepamba Moto uchaguzi mkuu utafanyika Mwakani.inaonekana uchaguzi huu umepaniwa sana na vyama vya siasa na wagombea Urais wako serious kweli kweli.
Nimepata Mwaliko kutoka kwa kambi moja ambayo hadi sasa ina Nguvu sana.Miongoni mwa vijana Saba kutoka baadhi ya nchi za kiafrika akiwemo Mwenyekiti wa Vijana wa ANC ya Afrika kusini julius Malema,Msemaji wa umoja wa vijana wa ANC Floyd Shivambu, Adams atoh okafo wa Ghana na aliyekuwa Rais wa chama cha wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Nigeria Kenneth Orkuma Hembe wamealikwa kwa ajili ya kusaidia katika maandalizi ya awali katika kuweka mkakati wa jinsi ya kuvuna kura za vijana ambao wameonekana ndiyo mtaji mkubwa kwa wagombea urais 2012
Je,kama ingekuwa Tanzania CCM ingeweza kuruhusu jambo kama hili kama ingetokea upinzani wakaalika watu kutoka nje kwa ajili ya issue kama hizi? Je,wanasiasa na wadau wa vyama vya upinzani tunaweza kukusanya mawazo au tactics beyond borders pengine hata kwenda mbali zaiki na ku-hire political tacticians kama akina Dick Morris ili kuimarisha mbinu na mikakati ya kisiasa kipindi cha uchaguzi mkuu?
Nimepata Mwaliko kutoka kwa kambi moja ambayo hadi sasa ina Nguvu sana.Miongoni mwa vijana Saba kutoka baadhi ya nchi za kiafrika akiwemo Mwenyekiti wa Vijana wa ANC ya Afrika kusini julius Malema,Msemaji wa umoja wa vijana wa ANC Floyd Shivambu, Adams atoh okafo wa Ghana na aliyekuwa Rais wa chama cha wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Nigeria Kenneth Orkuma Hembe wamealikwa kwa ajili ya kusaidia katika maandalizi ya awali katika kuweka mkakati wa jinsi ya kuvuna kura za vijana ambao wameonekana ndiyo mtaji mkubwa kwa wagombea urais 2012
Je,kama ingekuwa Tanzania CCM ingeweza kuruhusu jambo kama hili kama ingetokea upinzani wakaalika watu kutoka nje kwa ajili ya issue kama hizi? Je,wanasiasa na wadau wa vyama vya upinzani tunaweza kukusanya mawazo au tactics beyond borders pengine hata kwenda mbali zaiki na ku-hire political tacticians kama akina Dick Morris ili kuimarisha mbinu na mikakati ya kisiasa kipindi cha uchaguzi mkuu?