Elections 2010 Tume yaongeza majina hewa 100 hivi kila kituo - ushahidi ni huu?

Jamani nisaidie jinsi ya kua access data base ya wapiga kura kwenye website ya NEC maana sioni kitu pale. Nisaidie fasta wakuu
 
Jamani nisaidie jinsi ya kua access data base ya wapiga kura kwenye website ya NEC maana sioni kitu pale. Nisaidie fasta wakuu

kuna sehemu imeandikwa click here to see your status ipo katikati

soma taratibu utaiona naona ua haraka sana
 


nimepitia karatasi za wapiga kura, ambazo zimetundikwa maeneo mbalimbali katika vituo vya kupigia kura tarehe 31/10/2010.

Katika orodha waliyoweka tume ya uchaguzi, kuna aina mbili za namba za wapiga kura.

Namba ya kwanza wamepewa wale wote waliojiandikisha katika vituo halali kwa kujaza fomu zao na kupigwa picha, kisha kupewa kadi ya mpiga kura.

Kwa mfano namba 47880568 ni namba halali na imeandikishwa kwenye daftari la wapiga kura

namba aina ya pili zipo kwenye orodha ya wapiga kura lakini hazina maelezo yoyote, na jambo la kushanga namba hii pia imo kwenye daftari la wapiga kura.

Mfano ni namba 19272311 na 19272348 hizi namba zipo kwenye daftari lakini hazieleweki ni za nani, na kwa nini zimewekwa kwenye daftari la wapiga kura. Kwa uchunguzi wangu hizi namba ziko nyingi kweli kweli kwenye kila kituo nilichopitia.

Tume ya uchanguzi imekuwa ikidai kuwa idadi ya wapiga kura ni zaidi ya 19,000,000 idadi ambayo watu wengi wamekuwa wakipinga, ukweli ni kuwa hizi namba hewa zitawekwa kwenye daftari la kupiga kura jumapili zikiwa na maelezo ya watu na picha zao na watapiga kura.

Mawakala wote wa vyama vya upinzani kuanzia sasa wapitie orodha zilizotundikwa ukutani. Waandike namba zote ambazo hazina majina na maelezo yoyote, siku ya jumapili wahakikiki namba hizi na namba zilizopo kwenye daftari la wapiga kura kwa kila kituo.

La sivyo namba hizi zitaliza wengi, baada ya uchaguzi.

Hakikisha mwenyewe uhalifu huu wa tume kwa kuweka namba hizo kwenye link yao hii hapa:-

http://www.nec.go.tz/?modules=reg_status⊂

hiyo labda ni mwaka 2015 kwa sasa msahau wasimamizi wakura wenyewe wa tanzania wako wapi?ni late san ebu tatueni linaloonekana la watu kufichiwa kadi zao..
 
Kati ya namba 18000000 na 19272400 kuna namba nyingi sana ziko blank. ni jukumu la mawakala kuhakikisha kwamba ni wapiga kura wale tu wenye maelezo yaliyo kamilika ndiyo wanaruhusiwa kupiga kura.

Pia wakati wa kuhesabu kura, note down baadhi ya hizo namba katika hiyo series, ukiona zinajitokeza hakiki tena kwenye daftari la kudumu ili kuona kama zina maelezo kamili.

Kwa mtindo huu, Tume haikutakiwa kutueleza kwamba watu zaidi ya milioni 19 wamejiandkisha ili hali wakijua namba nyingi ziko blank. Kuna harufu ya ufisadi wa kura hapa.
 
NEC HAINA UBAYA IMEWAPA NJIA YAKUHAKIKI HAYA KAZI KWA WADAU Hakikini kuanzia na 1-19,000,000 tuleteeni zote zisizo na majina na vituo vyake
 
00000003, 00000008, 00000009, 00000010, Hii series iko Kata ya Ndoro Lindi. Hizo namba pia hazina details.
 
Wasimamizi wa uchaguzi Wawe Makini


Nimepitia karatasi za wapiga kura, ambazo zimetundikwa maeneo mbalimbali katika vituo vya kupigia kura tarehe 31/10/2010.

Katika orodha waliyoweka tume ya uchaguzi, kuna aina mbili za namba za wapiga kura.

Namba ya kwanza wamepewa wale wote waliojiandikisha katika vituo halali kwa kujaza fomu zao na kupigwa picha, kisha kupewa kadi ya mpiga kura.

Kwa mfano namba 47880568 ni namba halali na imeandikishwa kwenye daftari la wapiga kura

Namba aina ya pili zipo kwenye orodha ya wapiga kura lakini hazina maelezo yoyote, na jambo la kushanga namba hii pia imo kwenye daftari la wapiga kura.

Mfano ni namba 19272311 na 19272348 hizi namba zipo kwenye daftari lakini hazieleweki ni za nani, na kwa nini zimewekwa kwenye daftari la wapiga kura. Kwa uchunguzi wangu hizi namba ziko nyingi kweli kweli kwenye kila kituo nilichopitia.

Tume ya uchanguzi imekuwa ikidai kuwa idadi ya wapiga kura ni zaidi ya 19,000,000 idadi ambayo watu wengi wamekuwa wakipinga, ukweli ni kuwa hizi namba hewa zitawekwa kwenye daftari la kupiga kura jumapili zikiwa na maelezo ya watu na picha zao na watapiga kura.

Mawakala wote wa vyama vya upinzani kuanzia sasa wapitie orodha zilizotundikwa ukutani. Waandike namba zote ambazo hazina majina na maelezo yoyote, siku ya jumapili wahakikiki namba hizi na namba zilizopo kwenye daftari la wapiga kura kwa kila kituo.

La sivyo namba hizi zitaliza wengi, baada ya uchaguzi.

Hakikisha mwenyewe uhalifu huu wa tume kwa kuweka namba hizo kwenye link yao hii hapa:-

http://www.nec.go.tz/?modules=reg_status⊂
 
Hongereni wote mnaofuatilia haki ya waTZ. Mungu awabariki sana. Ee Mungu fichua kila aina ya uovu wa NEC
 
Tuvalieni njuga hili, hapa ndiyo kwenye mchezo wote. Namba nyingi hazina watu. NEC watueleleze wamepataje Hiyo Total ya waliojindikisha kufikia zaidi 19m ili hali kuna namba nyingi hazina details? Mpaka sasa nina namba zaidi ya 100 nimesearch bila mpangilio hazina details.
 
akisio ya awali yanaonyesha kuwa kila kituo wameweka namba zao zisizopungua 100, idadi ya vituo vya kupigia kura Tanzania nzima vipo vituo 53,000 x 100 = 5,300,000.



Ndiyo maana tumekuwa tukidai NEC huru ili kutuondolea matatizo haya yote.........

Wengi tulimpuuza wa 16 hapa alituambia kuwa CCm wanajiandaa kuingiza karatasi za kura kinyemela million 6 kwa hesabu zilizoongezwa vituoni ya watu 100 kila kituo inakaribia idadi aliyosema Wa 16 nategemea baadaya ya Tume kutambua kwamba wanachi tumegundua janja yao nadhani watasitisha hii dhuluma vinginevyo wameshaingiza nchi vitani
 


Nimepitia karatasi za wapiga kura, ambazo zimetundikwa maeneo mbalimbali katika vituo vya kupigia kura tarehe 31/10/2010.

Katika orodha waliyoweka tume ya uchaguzi, kuna aina mbili za namba za wapiga kura.

Namba ya kwanza wamepewa wale wote waliojiandikisha katika vituo halali kwa kujaza fomu zao na kupigwa picha, kisha kupewa kadi ya mpiga kura.

Kwa mfano namba 47880568 ni namba halali na imeandikishwa kwenye daftari la wapiga kura

Namba aina ya pili zipo kwenye orodha ya wapiga kura lakini hazina maelezo yoyote, na jambo la kushanga namba hii pia imo kwenye daftari la wapiga kura.

Mfano ni namba 19272311 na 19272348 hizi namba zipo kwenye daftari lakini hazieleweki ni za nani, na kwa nini zimewekwa kwenye daftari la wapiga kura. Kwa uchunguzi wangu hizi namba ziko nyingi kweli kweli kwenye kila kituo nilichopitia.

Tume ya uchanguzi imekuwa ikidai kuwa idadi ya wapiga kura ni zaidi ya 19,000,000 idadi ambayo watu wengi wamekuwa wakipinga, ukweli ni kuwa hizi namba hewa zitawekwa kwenye daftari la kupiga kura jumapili zikiwa na maelezo ya watu na picha zao na watapiga kura.

Mawakala wote wa vyama vya upinzani kuanzia sasa wapitie orodha zilizotundikwa ukutani. Waandike namba zote ambazo hazina majina na maelezo yoyote, siku ya jumapili wahakikiki namba hizi na namba zilizopo kwenye daftari la wapiga kura kwa kila kituo.

La sivyo namba hizi zitaliza wengi, baada ya uchaguzi.

Hakikisha mwenyewe uhalifu huu wa tume kwa kuweka namba hizo kwenye link yao hii hapa:-

http://www.nec.go.tz/?modules=reg_status⊂

Hili system lao
halina Quality Control
Halitofautishi Namba
Wala Helufi

na Hawa wajinga wamefanya makusudi tu
kurahisisha uchakachuaji

Maana hata ukiweka MAHARAGE kama namba linaleta majibu tu


VoterID FULL NAME MAHARAGE
REGISTRATION CENTRE
REGION
DISTRICT
WARD
 
Tuvalieni njuga hili, hapa ndiyo kwenye mchezo wote. Namba nyingi hazina watu. NEC watueleleze wamepataje Hiyo Total ya waliojindikisha kufikia zaidi 19m ili hali kuna namba nyingi hazina details? Mpaka sasa nina namba zaidi ya 100 nimesearch bila mpangilio hazina details.
Tafadhali uziprinti na kuweka uthibitisho hivi kama wananchi tuliomo humu JF hatuwezi kuitisha press conference tukubaliane tukutane pale maelezo hata wakituninyima ukumbi tunaweza tukazungumza na waandishi pale njee ,hii ni hatari sana Kumbe kiwkete yuko radhi kwenda IKULU akipanda miili ya watu ,Atambue kuwa yeye ndiye atakeye pata hasara kubwa kuliko wengine ,
 
00000003, 00000008, 00000009, 00000010, Hii series iko Kata ya Ndoro Lindi. Hizo namba pia hazina details.

Ahsante Vijana wetu mulionauchungu wa nchi yetu mimi nililic nilivyoona jina langu na kituo nikaishia kumbe wametengeneza ujanja huo,Nimeshaamini kweli CCM wezi wa kura mwaka huu imekula kwao ,wamemuingiza mkenge Raisi KIKwete hata akishinda kihalali bado wanancchi watakuwa na mashaka ni Lazima aondoke safari hii ili tubadilishe Tume ya uchaguzi na Katiba
 
Hii ni RED ALERT.

Asante Majimoto. Inabidi wenye uwezo wa kufuatilia

wafanye hivyo HARAKA. Ikibidi waonyeshwe waangalizi

wa kimataifa wa kura ili waulizie wao.

Kwa Taarifa nilizonazo, hakuna mwangalizi wa Kimataifa ambaye atasaidia jambo hili, kwa vipi; Mpango uko hivi, nchi hisani zote zinachukia Dk. Slaa kushika nchi kwa vile atavunja mikataba ya Madini, atawashika wezi wa EPA na mambo mengineyo, hivyo wanamtaka Kikwete arudi kwa vile wataendelea kufaidi Raslimari zetu. Wafahamishwe wananchi ili watambue hilo hata ikitokea tumepiga kura na ushindi haukupatikana kwa Dk. Slaa wajue ni kwa nini na ikibidi kuandamana tuandamane.
 
Popote ukiiona namba kuanzia 13547551 hadi 13547756, chukua hatua, hazina watu hizo.
 

Makisio ya awali yanaonyesha kuwa kila kituo wameweka namba zao zisizopungua 100, idadi ya vituo vya kupigia kura Tanzania nzima vipo vituo 53,000 x 100 = 5,300,000.

CCM tayari wana uhakika wa ushindi wa kishindo wa kura za awali bila jasho milioni tano na laki tatu.

Fanya utafiti mwenyewe, fika kwenye kituo chochote cha uchaguzi, hesabu namba zote ambazo hazijandikwa majina, utapata idadi ya kutisha.

JWTZ walikuwa wanapiga kura ndani ya makambi yao ya kijeshi, mwaka huu wameruhusiwa kupigia kura uraiani.

Tume ya uchaguzi itawahakikishia Watanzania kuwa vituo vya makambini vimefungwa, au wamepewa fursa ya kupiga kura uraiani na jeshini?
 
Back
Top Bottom