Hongereni wale waliokuwepo kwoa yao kwa usaili wa Nyerere Institute Memorial,Tunaona kuwa mnakuwa wasikivu ndio uwazi tunaoutaka kwa wale ambao wamefanya interview wekeni matokeo yao na then aliyepata hi rank apite hiyo nimekubali watu wanaangalia matokeo yao kwenye website yenu au sehemu waliyofanyia mtihani wa usahili,Angalizo fanyeni kwa Haki wala hamtaona malalamiko,hapo na hakikishe hakuna Undugunazation,wala urafikinazation.Keep it up