Paparazi Muwazi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 310
- 79
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Lewis Makame ametofautiana na Msimamizi wa Uchaguzi, Malange kuhusu CHADEMA na Operesheni Sangara Mbeya.
Wakati Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi amenukuliwa na gazeti la Mwananchi(5/1/2009), Msimamizi wa uchaguzi ameandikia barua CHADEMA ya tarehe hiyo hiyo kupiga marufuku Operesheni Sangara katika jimbo hilo hilo la Mbeya Vijijini.
Hayo yako katika barua tuliyotumiwa hivi punde kwa faksi kwenye chumba chetu cha habari toka Mbeya Vijijini. Katika barua hiyo, msimamizi ametoa maelezo nyeti yanayopingana na kauli ya Makame
Habari zaidi soma gazeti letu siku ya kesho.
PM
Wakati Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi amenukuliwa na gazeti la Mwananchi(5/1/2009), Msimamizi wa uchaguzi ameandikia barua CHADEMA ya tarehe hiyo hiyo kupiga marufuku Operesheni Sangara katika jimbo hilo hilo la Mbeya Vijijini.
Hayo yako katika barua tuliyotumiwa hivi punde kwa faksi kwenye chumba chetu cha habari toka Mbeya Vijijini. Katika barua hiyo, msimamizi ametoa maelezo nyeti yanayopingana na kauli ya Makame
Habari zaidi soma gazeti letu siku ya kesho.
PM