breeeaking news,,,,,,,,hadi wakati huu mitandao ya kutuma matokeo ya tume ya taifa ya uchaguzi haijetengamaa
Amina.Tumemuomba MUNGU kwa kulia na kuomboleza atautia upofu ufahamu wao wale wote wanaopanga kuharibu matokeo mpaka hapo uchaguzi utakapokwisha na matokeo kutangazwa.KUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU MBARIKI YULE ULIYEMTEUA KUWA RAISI WA KIZAZI KIPYA
Labda watakuwa wamefunga ku-update.Kuna mwenye taarifa zozote kuhusu website ya NEC ina matatizo gani?
Sasa ku-update website ndio mpaka tovuti ifungwe!?Labda watakuwa wamefunga ku-update.
Kuna mwenye taarifa zozote kuhusu website ya NEC ina matatizo gani?
matokeo sio mazuri.............yameathiri website
Hacked!
imechakachuliwa...!Kuna mwenye taarifa zozote kuhusu website ya NEC ina matatizo gani?
Hii NEC yaani ni kichefu chefy sanaa
Website yao haina matokeo yoyote ya mwaka huu
bali latest waliyonayo ni ya uchaguzi wa 2005
pamoja na mabilioni ya shilingi mnayotumia kujiendesha hamuwezi hata kuweka matokeo kweny website yenu mnatia aibuu