Tume ya uchaguzi mmetuletea ******* mwingine Arumeru ee, :msimamizi wa uchaguzi mnataka vita??

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Anyway tbc wako hewani nahisi huyu mpuuzi wametuletea ili kuchafua hali ya hewa
msimaizi huyu amesema ameitupilia mbali kesi ya kupinga uraia wa sioy anaegombea kwa niaba ya ccm
alipoulizwa kipengele gani cha kuitupilia mbali hana cha kuongea nahisi huyu ni mpuuzimwingine
ambae sasa chadema mmeonyeshwa rangi ya kijani mmjue mko na fedhuli waaina gani
na wajinga kama hawa wanaweza kuambiwa na ccm tangza mtu fulani mshindi kama walivyoshinda enzi za babayake

tuanze kujipanga
 
Heading ndiyo imeharibu kila kitu, vi xxxx ni dalili ya kutukana, back to topic mimi sikuelewa kabisa huyo jamaa aliyetupulia mbali pingamizi la CDM alitumia vigezo.
 
ukiwa na hasira usiandike email'mkuu tumekupata lakini wajue chadema imehamishia ofisi zake arumeru'sijui atatumia njia gani ngoja tutaona
 
Back
Top Bottom