BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Anyway tbc wako hewani nahisi huyu mpuuzi wametuletea ili kuchafua hali ya hewa
msimaizi huyu amesema ameitupilia mbali kesi ya kupinga uraia wa sioy anaegombea kwa niaba ya ccm
alipoulizwa kipengele gani cha kuitupilia mbali hana cha kuongea nahisi huyu ni mpuuzimwingine
ambae sasa chadema mmeonyeshwa rangi ya kijani mmjue mko na fedhuli waaina gani
na wajinga kama hawa wanaweza kuambiwa na ccm tangza mtu fulani mshindi kama walivyoshinda enzi za babayake
tuanze kujipanga
msimaizi huyu amesema ameitupilia mbali kesi ya kupinga uraia wa sioy anaegombea kwa niaba ya ccm
alipoulizwa kipengele gani cha kuitupilia mbali hana cha kuongea nahisi huyu ni mpuuzimwingine
ambae sasa chadema mmeonyeshwa rangi ya kijani mmjue mko na fedhuli waaina gani
na wajinga kama hawa wanaweza kuambiwa na ccm tangza mtu fulani mshindi kama walivyoshinda enzi za babayake
tuanze kujipanga