EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Taratibu za uteuzi hufanywa na chama husika NEC huwa ni kuthibitisha tu. Hata huyu alishapendekezwa na chama chake kwa misingi hiyo NEC haina mamlaka ya kubadili kitu kazi yao ni kugonga muhuri basi. Nafikiri hata mleta mada amelizungumzia hilo.Sijui, nielimishe. Dont criticise UNLESS you are willing to EDUCATE! It is called CONSTRUCTIVE CRITICISM! Kapish?
Uteuzi huu umekamilika mara baada ya taratibu zote za kimichakato inayohusiana na taratibu za NEC mara baada ya kuwasiliana na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo[CHADEMA] kwa ajili ya uthibitishaji wa mwisho