Flucytosine
Member
- Feb 19, 2012
- 16
- 4
Siku zote serikali hii tuliyonayo huwa haitibu tatizo bali ina deal na effects za tatizo lenyewe huku ikiliacha tatizo kama lilivyo,pinda anadhani kwa kufanikiwa kuwatuliza ma dr. hawataweza kujimobilize tena na kuanzisha mgomo mwingine,ngoja tusubiri tarehe 3 mbona sio mbali.
"PANAPOFUKA MOSHI; UKITAKA KUUFUTA ZIMA MOTO CHINI" source - Justin Kalikawe(RIP)
"PANAPOFUKA MOSHI; UKITAKA KUUFUTA ZIMA MOTO CHINI" source - Justin Kalikawe(RIP)