Nyepesi nyepesi nilizozipata kutoka kwenye vyanzo aminifu ni kwamba hali si shwari hata kidogo kati ya Tume aliyoiunda mheshimiwa Bw.Mizengo pinda ya kushughulikia mgogoro wa madaktari ambayo inatakiwa iwe imemaliza kazi kabla ya 3/3/2012
-Serikali imecheza siasa kujaribu kuwagombanisha/kuwachangaya pande mbili za madaktari i.e. kamati ya Ulimboka na kwa upande mwingine viongozi wa MAT na inaelekea kufanikiwa kwani kuna mgogoro unaofukuta chini kwa chini ili kuvunja umoja huu.
-Sasa ninavyoongea ni kwamba hata MAT wenyewe kwa wenyewe hawaelewani kwani kuna kiongozi mmoja wa ngazi ya juu amefikia hata hatua ya kutishia kuachia ngazi.
-Tume ya Ulimboka wameamua kujiweka pembeni kwa sasa, na wanasubiri tu ifike hiyo tarehe 3/3, kama bado hakieleweki waitishe tena mgomo.
-MAT wanaonekana wamekuwa'fixed kwani wamekuwa legelege sana kimsimamo
MY TAKE: Madaktari wako imara sana, huo mchezo mchafu hautafanikiwa kamwe, naona Serikali wanasahau haraka sana kile
kilichotokea wiki 2 zilizopita..Hili halipaswi kutokea tena mbele ya macho yetu wananchi..CHONDE CHONDE BWANA
PINDA KUWA MAKINI!!!!
-Serikali imecheza siasa kujaribu kuwagombanisha/kuwachangaya pande mbili za madaktari i.e. kamati ya Ulimboka na kwa upande mwingine viongozi wa MAT na inaelekea kufanikiwa kwani kuna mgogoro unaofukuta chini kwa chini ili kuvunja umoja huu.
-Sasa ninavyoongea ni kwamba hata MAT wenyewe kwa wenyewe hawaelewani kwani kuna kiongozi mmoja wa ngazi ya juu amefikia hata hatua ya kutishia kuachia ngazi.
-Tume ya Ulimboka wameamua kujiweka pembeni kwa sasa, na wanasubiri tu ifike hiyo tarehe 3/3, kama bado hakieleweki waitishe tena mgomo.
-MAT wanaonekana wamekuwa'fixed kwani wamekuwa legelege sana kimsimamo
MY TAKE: Madaktari wako imara sana, huo mchezo mchafu hautafanikiwa kamwe, naona Serikali wanasahau haraka sana kile
kilichotokea wiki 2 zilizopita..Hili halipaswi kutokea tena mbele ya macho yetu wananchi..CHONDE CHONDE BWANA
PINDA KUWA MAKINI!!!!