Tume ya kuchunguza utajiri wa afrika uliopotea

ZEE BABA

Senior Member
Jan 19, 2011
169
59
BBC imetangaza kuwa Raisi wa zamani wa Afrika Kusini Thabo Mbeki ataongoza tume ya kuchunguza utajiri wa Afrika hasa madini ambao umepotelea ughaibuni(Ulaya na Amerika) tume hiyo haina kiongozi mwingine kutoka bara la Afrika zaidi ya Mbeki.Tume hiyo itakuwa na jukumu la kuchunguza namna ambavyo watu mbalimbali wakiwemo viongozi na wafanya biashara wamefuja mabilioni yatokanayo na Madini katika bara la Afrika.
 
Naombea hiyo tume imalize salama mwaka m1 waliopewa wasije kufanyiwa umwakyembe na mafisadi ya kiafrika,huu ndio utakua mwisho wa hawa mabazazi ya kiafrika.
 
Back
Top Bottom