Sakoyo Senior Member Aug 23, 2010 135 7 Mar 2, 2011 #1 Hamuwezi kuamini kuwa prezidaa ataunda tume ya kuchunguza bei ya sukari kupand baada ya kuona "bango" hili kutoka mwanza!
Hamuwezi kuamini kuwa prezidaa ataunda tume ya kuchunguza bei ya sukari kupand baada ya kuona "bango" hili kutoka mwanza!
malkiory JF-Expert Member Oct 24, 2010 270 24 Mar 2, 2011 #3 Rais Kikwete anastahili nickname ya "MZEE WA TUME"
Mchaga JF-Expert Member Apr 11, 2008 1,378 204 Mar 2, 2011 #4 Sakoyo said: Hamuwezi kuamini kuwa prezidaa ataunda tume ya kuchunguza bei ya sukari kupand baada ya kuona "bango" hili kutoka mwanza! Click to expand... Bango lipi? acha haraka ya kutuma post kuwa makini mkuu
Sakoyo said: Hamuwezi kuamini kuwa prezidaa ataunda tume ya kuchunguza bei ya sukari kupand baada ya kuona "bango" hili kutoka mwanza! Click to expand... Bango lipi? acha haraka ya kutuma post kuwa makini mkuu
Ngangasyonga JF-Expert Member Sep 13, 2010 455 70 Mar 2, 2011 #5 Kuwa makini ndugu, bango liko moyoni kwako???
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Mar 2, 2011 #6 Mkuu umekunywa chai kavu(bila sukari)?
Obe JF-Expert Member Dec 31, 2007 9,982 34,476 Mar 2, 2011 #7 Ndibalema said: Mkuu umekunywa cahi kavu(bila sukari)? Click to expand... Tehetehetehete, mchana wa leo umekuwa mzuri
Ndibalema said: Mkuu umekunywa cahi kavu(bila sukari)? Click to expand... Tehetehetehete, mchana wa leo umekuwa mzuri
dkims Senior Member Mar 25, 2010 148 24 Mar 2, 2011 #8 hee kama umesahau main part ya msg yako sina uhakika kama unakumbukaga kuvaa ...........................!!!!
hee kama umesahau main part ya msg yako sina uhakika kama unakumbukaga kuvaa ...........................!!!!